Recent content by mwanvido

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Nakumbuka enzi hizo, mwanzoni mwa miaka ya 2000, kulikuwa na watangazaji na vipindi maarufu vilivyopeta kipindi hicho. MISANYA BINGI WA REDIO ONE- Enzi zile alikuwa na kipindi chake cha chemsha bongo, ilikuwa burudani sana. MARTHA NGWILA WA REDIO Tanzania, huyu alivuma sana na style yake ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 33 na walimu 2 waliofariki kwa ajali ya basi Karatu, Arusha wazikwe pamoja. Mnara ujengwe

    Rambi rambi sio lambi lambi[emoji23] [emoji23]
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 33 na walimu 2 waliofariki kwa ajali ya basi Karatu, Arusha wazikwe pamoja. Mnara ujengwe

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe filamu zilizotesa mwanzoni mwa miaka ya 2000

    Aisee, kila nyakati na mambo yake, hivi mnakumbuka miaka ile tunajazana kwenye vibanda vya TV show kuangalia muvi?, alafu kuna baadhi ya filamu zilitamba sana miaka hiyo mfani Arnold shwarzniger(jeny) Neria The gods must be crazy1-3 Mkanda wa yesu Sarafina Rambo Muvi za blue three Home alone...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la Roma linavyofanana na la Ulimboka

    Mkwara tu[emoji23] [emoji23] kwisha habar yke
  6. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la Roma linavyofanana na la Ulimboka

    Bila shaka, Roma ametuthibitishia pasina shaka, kuwa alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika, japo hakuwa tayari kuweka wazi mahojiano waliyomhoji watekaji. Itoshe kusema sakata hili LA Roma linafanana sana na LA Dr. Ulimboka lililotokea mnamo mwaka 2012, ambapo naye alitekwa na watu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka michezo ya maigizo ya zamani kwenye tv?

    Kweli kila nyakati na mambo yake, nakumbuka michezo ya maigizo kipindi hicho ilivokuwa ina trend. Enzi za kaole kila jumamosi baada ya taarifa ya habari tu, watu macho kwenye TV, mambo hayo, kidedea, jumba LA dhahabu. Basi enzi hizo mastaa waliokuwa wanatamba kwenye uigizaji wakina Kibakuli...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Patience ozokwu[emoji23] [emoji23] mama mkaanga sumu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Witches noma sana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Nyingi zipo YouTube mkuu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Dah girls hostel noma
  12. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Noma sana
  13. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    Noma sana umenikumbusha mbali
  14. M

    JamiiForums Tanzania Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

    My love" ilikuwa noma sana
  15. M

    JamiiForums Tanzania ROMA: Kutekwa "k" kutafutwa "k" kupigwa "k" eee k ni k hata kupatikana "k".

    HATA KUTEKWA "K" BASI K NI K
Back
Top Bottom