Sakata la Roma linavyofanana na la Ulimboka

mwanvido

Member
Jan 21, 2017
30
29
Bila shaka, Roma ametuthibitishia pasina shaka, kuwa alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika, japo hakuwa tayari kuweka wazi mahojiano waliyomhoji watekaji. Itoshe kusema sakata hili LA Roma linafanana sana na LA Dr. Ulimboka lililotokea mnamo mwaka 2012, ambapo naye alitekwa na watu wasiojulikana, akateswa na baada ya siky kazaa akapatikana akiwa mahututi kwa mateso makali.
Matukio haya mawili yanakaribiana sana, kwani sakata LA Dr. Ulimboka lilitokea kipindi cha mgomo wa madaktari, na Dr.Ulimboka, kwa kiasi kikubwa alikuwa, kiongozi na mratibu wa mgomo ule. Na baada tu ya tukio LA Dr ulUlimboka mwaka 2012 hadi Leo ni miaka mitano haujawahi kujirudia tena mgomo wa madaktari.
Hivyo wasi wasi, wangu ni kuwa baaada ya tukio hili ndo utakuwa mwisho wa Roma kutoa aina ya nyimbo alizokuwa anatoa, na pengine wasanii wa aina yake.
 
Kama tutalihusisha tukio la Roma na vyombo vya usalama basi Tanzania tuna TISS iliyobora kabisa Afrika. Tuipongeze na tuzidi kuitia nguvu kwa maslahi ya taifa letu. Kama ni majambazi ya Dar tuyaombee laana
 
Kama tutalihusisha tukio la Roma na vyombo vya usalama basi Tanzania tuna TISS iliyobora kabisa Afrika. Tuipongeze na tuzidi kuitia nguvu kwa maslahi ya taifa letu. Kama ni majambazi ya Dar tuyaombee laana
Majambazi ya kudhuru watu ulishawahi kuyaona wapi???
 
Nilivyomuona azam news sijategemea kama ndio Roma yule niliyekuwa nasikiliza nyimbo zake jk akiwa madarakani..hili ni funzo tosha kwa wasanii wengine wasioweza kutumia maiki zao kufanya biashara badala yake wanatumiwa na wanasiasa..kumbuka ukiimba utashangiliwa ila kwenye torture utaingia peke yako..
 
Sasa kwa maumivu akifa usiku huu bila kusema kilichomsibu siutakuwa ujinga..!

Angesema tu kinachoendelea.
He said it all "hatuko salama na tunahofia usalama wa maisha yetu" kama vyombo vya usalama alivyovishukuru kinafiki viko upande wao na waziri pembeni yake unafikiri angesema hayo? Uwoga wote ule ni kwasababu gani...alikuja maelezo kusema nini? Hivi Mwakyembe alifurahi nini pale? Hivi kweli huyu Mwakyembe hajajifunza ubaya wa udhalimu baada ya yaliyomkuta???
 
Tutarajie Roma 'kutoweka" nchini na kwenda mahali kusikojulikana.....

Si tuliona namna Dr Ulimboka 'alivyotoweka' tokea mwaka ule 2012 mpaka leo hatujamsikia tena?
 
  • Thanks
Reactions: e2n
He said it all "hatuko salama na tunahofia usalama wa maisha yetu" kama vyombo vya usalama alivyovishukuru kinafiki viko upande wao na waziri pembeni yake unafikiri angesema hayo? Uwoga wote ule ni kwasababu gani...alikuja maelezo kusema nini? Hivi Mwakyembe alifurahi nini pale? Hivi kweli huyu Mwakyembe hajajifunza ubaya wa udhalimu baada ya yaliyomkuta???

Hicho ndicho kinacho nishangaza!!
 
Wewe mpumbavu unawajua waliomteka Roma? Acha kuipaka matope Serikali!
Serikali inajipaka matope yenyewe siyo sisi wananchi tunayoipaka matope.....

Hebu nikuulize swali dogo tu wewe 'mtetezi' mkubwa wa serikali hii?

Ni kwa nini Nape amefukuzwa kazi eti kwa 'kosa' la kuunda Tume tu ambayo ilijiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa Clouds TV ilivamiwa usiku na askari wenye silaha za moto na huyo akiyeongoza uvamizi huo ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Dar hadi leo yupo kwenye nafasi yake ya ukuu wa mkoa!?

Ni kwa nini yule aliyemtolea bastola hadharani Nape pale Protea mchana kweupe huku akirekodiwa na vyombo mbalimbali vya habari na pamoja na agizo la Waziri wa mambo ya ndani Mwiguru kumwagiza IGP kuhakikisha kuwa yule aliyemtolea bastola Nape akamatwe Mara moja na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, lakini agizo la Mwigulu limegonga mwamba na yule jamaa 'ameshindikana' kukamatika?

Hivi katika mazingira hayo ambayo si kamanda Sirro wala IGP Mangu wala Waziri Mwigulu kwenye uwezo wa kulidhibiti hilo kundi la 'Bashite Forces' ni kwa nini sisi wananchi tusiamini kuwa hilo kundi linafanya mambo yake ya uharamia wa kutisha with full blessings toka kwenye like Jengo lililoko pale Magogoni?
 
Serikali inajipaka matope yenyewe siyo sisi wananchi tunayoipaka matope.....

Hebu nikuulize swali dogo tu wewe 'mtetezi' mkubwa wa serikali hii?

Ni kwa nini Nape amefukuzwa kazi eti kwa 'kosa' la kuunda Tume tu ambayo ilijiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa Clouds TV ilivamiwa usiku na askari wenye silaha za moto na huyo akiyeongoza uvamizi huo ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Dar hadi leo yupo kwenye nafasi yake ya ukuu wa mkoa!?

Ni kwa nini yule aliyemtolea bastola hadharani Nape pale Protea mchana kweupe huku akirekodiwa na vyombo mbalimbali vya habari na pamoja na agizo la Waziri wa mambo ya ndani Mwiguru kumwagiza IGP kuhakikisha kuwa yule aliyemtolea bastola Nape akamatwe Mara moja na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, lakini agizo la Mwigulu limegonga mwamba na yule jamaa 'ameshindikana' kukamatika?

Hivi katika mazingira hayo ambayo si kamanda Sirro wala IGP Mangu wala Waziri Mwigulu kwenye uwezo wa kulidhibiti hilo kundi la 'Bashite Forces' ni kwa nini sisi wananchi tusiamini kuwa hilo kundi linafanya mambo yake ya uharamia wa kutisha with full blessings toka kwenye like Jengo lililoko pale Magogoni?
Uvamizi wa kituo cha TV au Redio ni kosa la Jinai. Kwa nini Clouds wasiende Polisi wenye kazi hiyo? Nape alijipa kazi ambayo si yake ndio maana akatoswa kwa kutokuwa na weledi wala ufahamu wa Serikali inavyoendeshwa!!
 
Serikali inajipaka matope yenyewe siyo sisi wananchi tunayoipaka matope.....

Hebu nikuulize swali dogo tu wewe 'mtetezi' mkubwa wa serikali hii?

Ni kwa nini Nape amefukuzwa kazi eti kwa 'kosa' la kuunda Tume tu ambayo ilijiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa Clouds TV ilivamiwa usiku na askari wenye silaha za moto na huyo akiyeongoza uvamizi huo ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Dar hadi leo yupo kwenye nafasi yake ya ukuu wa mkoa!?

Ni kwa nini yule aliyemtolea bastola hadharani Nape pale Protea mchana kweupe huku akirekodiwa na vyombo mbalimbali vya habari na pamoja na agizo la Waziri wa mambo ya ndani Mwiguru kumwagiza IGP kuhakikisha kuwa yule aliyemtolea bastola Nape akamatwe Mara moja na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, lakini agizo la Mwigulu limegonga mwamba na yule jamaa 'ameshindikana' kukamatika?

Hivi katika mazingira hayo ambayo si kamanda Sirro wala IGP Mangu wala Waziri Mwigulu kwenye uwezo wa kulidhibiti hilo kundi la 'Bashite Forces' ni kwa nini sisi wananchi tusiamini kuwa hilo kundi linafanya mambo yake ya uharamia wa kutisha with full blessings toka kwenye like Jengo lililoko pale Magogoni?
Nape siyo Polisi. Utekaji ni kosa la Jinai. Alitumbuliwa kwa kufanya kazi isiyo yake
 
Iddy Amin alikuwa na kikundi chenye sifa kama ya hicho unachokisifia
Nina kumbukumbu ya hiko kikundi cha kule Uganda kwenye miaka ile ya 70 enzi za dictator Idi Amin Dada, ambapo kikundi hicho kilikuwa kinaongozwa na mtu mmoja aliyekuwa anaitwa Malyamungu, ambapo kikundi hicho kilikuwa kinafanya mambo yanayoshabiana sana na kikundi chetu cha hapa nchini cha 'Bashite Forces'

Kukaa kwetu kimya kwa kuwa halijatukuta, tukisubiri yatukute ndipo itakuwa ni kilio na kusaga meno kama ilivyotokea enzi hizo za Malyamungu wa Idi Amin ambapo waitoweka watu wengi maarufu kwenye jamii na kuteswa na kuuawa, wqkiwemo wanasiasa, majaji na hata viongozi wa dini.....

Sisi kama Taifa tukiendelea kuunyamazia huu unyama unaofanywa na 'Bashite Forces' ipo siku Taifa letu litalia na kusaga meno........
 
Kama tutalihusisha tukio la Roma na vyombo vya usalama basi Tanzania tuna TISS iliyobora kabisa Afrika. Tuipongeze na tuzidi kuitia nguvu kwa maslahi ya taifa letu. Kama ni majambazi ya Dar tuyaombee laana
Huo ndio ubora? Wa kutisha watu kwa kumlinda Toshiba? Sorry brother you are wrong. Yaani ulipe kodi wewe walipwe watu mshahara ili waje kukuteka? Badala ya kukulinda?
 
Back
Top Bottom