Wacha1 kila mmoja ana uhuru wakutoa maoni yake na jinsi anavyofeel kuhusu wenger wote tumeanza ishabikia Arsenal toka kitambo sana tunafaham Wenger katutoa wapi but hiyo sio excuse ya kuendelea kuvumilia haya madudu ya sasa about 5th season consecutively tupo vilevile hata hao wengine wakipona...
Kweli mndengereko unachoongea kipa nae hakua sawa pale golini lakini lawama zote wenger anastahili anashindwa kwenda na wakati hizi sio zama za kukuza wachezaji ni kuwapa nafasi ready made player
Mashabiki wengine bana lazima tufike kipindi tukubali uwezo wa Arsene Wenger kwa enzi hizi hamna kitu anakosa vitu vingi sana hata aina ya wachezaji yeye anaopenda waanzisha first eleven hawaeleweki mfano Olivier Giroud huyu jamaa uwa akianza uwa naamini uwanjani tunakua pungufu kwasababu ni...
nimekuelewa Mr yes, clouds fm wanastahili pongezi kwa haya mashindano na Dr.Mwaka pia binafsi nadhani hiyo ni baadhi ya mambo yanayohitaji kushughulikiwa sheria ziwekwe hata kama itaruhusu wachezaji wa ligi kuu basi wawe wachache sana ila kwa maoni yangu naona ingekua vema wachezaji wa ligi kuu...
Nashukuru kwa response mkuu raisi Jamal Malinzi pia angalau napata picha kinachoendelea TFF lakini mkuu huoni kama una mambo mengi kufanya kwa muda mfupi huoni hili litaleta shida ukizingatia rasilimali pesa inaweza kuwa shida kwann usiwe na mambo machache na uyape kipaumbele?
Hamna kitu hiyo timu yenu inaweza ifunga Simba tu eti inaundugu na Yanga sc ikikutana na Tim nyngne inapgwa na Yanga sc ndo kabisa kama mwanamke malaya mi sitamani hata kuisikia bora ingekua ile Mwanza United kwani ilipotelea wapi? Coz mitim kama Toto imeptwa na wakati saiz tunataka timu ambazo...
Hivi hii timu ya taifa tuna malengo gani? Yani tunajiandaa kwalipi? Hivi hakuna haja ya kuanza kuwekeza kwenye migogoro let's focus CHAN Mwakani na CAN 2017& 2019 hizi mambo za migogoro hatufiki popote
TFF hii ya kwako mkuu hamna kitu kama FAT tu enzi hizo sioni haja ya wewe kukaimu shughuli karibu zote kwanini most of the time wewe ndo unakua msemaji stay as a president mambo ya mipasho tupa kulee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.