Hebu niwape ukweli wa hawa jamaa, Alshababy wa Cabo delgado, kwanza wanatumia Uisilamu kama kivuli, ingawa Wasilamu na misikiti yote wanapingana nao.
Hawa wana maajent au madarali wafanyabiashara ambao hulipwa pesa ndefu kwa ajili ya kuwasambazia maitaji yao, kumbuka wao wanakaa porini lakini...
Mara nyingi inasababishwa na umaskini wa muhusika, hizi tabia wanazo sana watu wanaotokea uswahilini, mfano unakuta sikuku hizi za kidini yaani mtu atazunguka hata sehemu 10, zote anataka kula, mpaka unamuonea huruma anavyopata tabu
Mungu ni Muumba wako wewe na mimi, aliyeumba kila kitu ambacho jicho lako linaviona na vingine huvioni.Akatuamrisha tumuabudi yeye tu, hana msaidizi wala mshirika
Mama ni mama huyo ndiye Mungu wako wa Pili, Kila atakachokufanyia kibaya kilipe kwa wema, hata angekuwa mkorofi vipi wewe inabidi ujishushe, imekatazwa hata kupaza sauti tu kwake haitakiwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.