Yah alishanieleza kila kitu kuhusu yeye na alikuwa msichana bado. Na nilishawahi kukutana na binti mwingine b4 hakuwahi lalamika so kuhusu size sio, iko normal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wana JF.
Nina mpenzi wangu toka nikutane nae analalamika maumivu makali wakati wa tendo na hata baada ya tendo maumivu yanadumu kwa takribani cku mbili mpaka tatu. Hata nimuandae vp lakini tukianza tendo tu basi hali inakuwa sio nzui kwake. Sasa nimejaribu kufikiria nikaona...
mzee wa_ngada
Sijasema siwezi ishi bila yeye mkuu cause mpaka hapa nilipofika nimefika mwenyewe. Na kwa kulijua hilo ndo maana nimeleta mada sehemu sahihi kupata ushauri kutoka kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.