Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Warioba Ni shiiiiiiiida.
Tutakukumbuka kwa mengi mema na mabaya na akili zako tata
Tutakukumbuka kwa mengi mema na mabaya na akili zako tata
Unataka tu post maiti yake au? Kweli kafariki dunia..
Mkuu kweli tunatembea tukiwa wafu...!!!!
Huyu mzee juzi hapa alidai ati kama katiba mpya itatumbua uwepo wa serikali tatu "Yupo tayari kuingia msituni kupigania serikali mbili"..
Tena juzi pale Songea akawaimbia ccm wimbo wa "kuwaaga" huku Kikwete akimsifu ati haishishiwi nyimbo...!!!!! Leo ndo hivyo tena..!!!
Nadhani mstuko wa kupigwa mnada nyumba na shule alizokuwa akimiliki zimechangia mzee kuondoka mapema... Aaaaah alale anapostahili....!!!!!!!!
BACK TANGANYIKA
Inaweza kuwa HBPAmepatwa na nin hadi afe??
Masihara kwenye kifo sio fresh