Kama mlikuwa munamlipa na mpaka Leo bado mlipa Richmond maana ccm ni vilaza wakutosha haiwezekani muibiwe na mtu mmoja tu wakati nyie ndio mmeshikilia serekali kweli nimeamini kuwa ninyi nivilaza tena haswa
Nakubaliana wew mkuu ila mkileta mada ya uchumi tuijadili bc tuache Habari za bashite sisi hazitusaidii wala nini
kikubwa ni kuulizana kwa nn uchumi ushuke wakati kira ck tunasikia TRA wakisema makusanyo yamevuka lengo
Tuachane na bashite tujadili uchumi
Sio wakwanza kusema wapinzani wagonjwa but toka tuanze campen na uchaguzi naona waupande wenu wanaondoka tu sijajuwa ugonjwa huu unafanyaje
nakuna mtu mgonjwa sana hata kwenda kuleee upande wapili wa dunia haendi atakuwa Mbowe huyuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.