Recent content by Mwandumi

  1. Mwandumi

    Richmond: Watanzania tulimlipa Lowassa Mil 150 kila siku...

    Kama mlikuwa munamlipa na mpaka Leo bado mlipa Richmond maana ccm ni vilaza wakutosha haiwezekani muibiwe na mtu mmoja tu wakati nyie ndio mmeshikilia serekali kweli nimeamini kuwa ninyi nivilaza tena haswa
  2. Mwandumi

    Dk Slaa: Mvumilieni Rais Magufuli. Natafakari kurudi nchini siku yoyote

    Aambiwe kuwa saiz fisiem hawagawi hela tena kama zamani
  3. Mwandumi

    Kuna Dalili ya Serikali Kufilisika

    Nakubaliana wew mkuu ila mkileta mada ya uchumi tuijadili bc tuache Habari za bashite sisi hazitusaidii wala nini kikubwa ni kuulizana kwa nn uchumi ushuke wakati kira ck tunasikia TRA wakisema makusanyo yamevuka lengo Tuachane na bashite tujadili uchumi
  4. Mwandumi

    Mahakama ya Kisutu yafuta shtaka la kutakatisha fedha dhidi ya aliyekuwa bosi wa TRA, Harry Kitilya

    Kinacho nishangaxa kesi nyingi serekali inashindwa mahakani nikwamba mawakili wake sio wazuri au kunatatizo gani
  5. Mwandumi

    Kama Tundu Lissu yupo tayari kunywa Juice ya Ikulu, amuombe radhi Rais kwa kumuita Dikteta

    Kwa nini sasa wew usiwasaidie Mbona watanazia wanakula mlo mmoja na kule bukoba wanalala nje na Rais hajawasaidia au Lisu tu ndio anatoa msaada
  6. Mwandumi

    Kwanini kila anayemkosoa Rais huitwa hudhaniwa kuwa ni mwanachama wa CHADEMA?

    .Wote akili zenu za kijiko Serekali inaongozwa na Ccm sasa ukisifia maana yake wew ni warumumba tu ukipanga hata kama wew sio chadema but ni upinzani
  7. Mwandumi

    Ripoti: Tanzania yaongoza Afrika kwa kupokea wageni wengi zaidi kwa njia ya anga

    Hao wageni wameigiza faida kiasi gani maana wingi wao sio tija tija how benefit they get us National
  8. Mwandumi

    Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

    ila pamoja uzuri wao hawamfikii bashite wangu
  9. Mwandumi

    Karagwe: Mkuu wa Wilaya kapotea na Maaskari zaidi ya 60 Pori la Kimisi

    haaaaahaaaaahaaaa msitu wa ajabu huo ngoja tusubiri msemaji wa nchi aje sikuhizi msamajivni yeye tu
  10. Mwandumi

    Tusishangilie Magufuli kuruhusu Wimbo wa Ney wa Mitego, ni chambo

    Kuna mtu anatafutwa ngoja utasikia ya
  11. Mwandumi

    Rais Magufuli tunyooshe tu,kama ndio hivi wapinzani wanavyo tufanyia sisi WANANCHI..

    Sio wakwanza kusema wapinzani wagonjwa but toka tuanze campen na uchaguzi naona waupande wenu wanaondoka tu sijajuwa ugonjwa huu unafanyaje nakuna mtu mgonjwa sana hata kwenda kuleee upande wapili wa dunia haendi atakuwa Mbowe huyuuuuu
Back
Top Bottom