Nipo likizo Kahama. Jana jioni rafiki yangu alinunua chupa mbili kubwa za Pombe ya KVant kwenye duka la jumla hapa Mjini. Tulipoanza kutumia nikagundua zina ladha tofauti. Na kweli tulipochunguza zile lebo tukagundua zina utofauti na KVant original.
Tulipozirudisha dukani muuzaji akatutisha...
Ni suala la wananchi wa eneo husika kwa kushirikiana na Serikali ya Mtaa kumvaa huyo Mama Nancy,kumuhoji na kumuokoa huyo mtoto na sio kusubiri Waziri Kwa issue ndogo kama hiyo
Mabenki yote yaliyojaa mitaani unayaacha unaenda kukopa kwa hayo majizi Bayport??ni sawa na mtu anayeacha Sola zote mitaani anaenda kukopa Sola kwa yale majizi ya Monisol Engie
Tangu lini Serikali ya Mtaa ikatoa Hati??hiyo Hati ya Serikali ya Mtaa inasainiwa na nani??Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa,Katibu au nani??kwa ninavyofahamu Hati hutolewa na Wizara na husainiwa na Kamishna wa Ardhi
Eneo kutambulika na Serikali ya Mtaa haimaanishi kwamba ni Hati Miliki.Na kimsingi...
Kuna mdada mwingine Belinda Ringo aliajiriwa na TPDC mwaka 2007 kama Lawyer. Baada ya mwaka mmoja TPDC wakampeleka UK kusoma Masters. Kufika huko akawehuka kabisa akakataa kurudi Tanzania. TPDC wakamfukuza kazi akiwa hukohuko. Jitihada za Familia yao zikafanikiwa wakamrudisha Tanzania lakini...
Mnajiridhisha eti kikosi chenu dhaifu hivyo mlipaswa kufungwa nyingi,hakika manyumbu ni wa ajabu sana,niwakumbushe tu kwamba mimba hutungwa na Bao moja tu yaani mkojo mmoja tu,huhitaji kukojoa mikojo miiiiingi ili mimba iingie.
Nyumbu ni Nyumbu tu,akili zenu zipo makalioni
Hata striker hana lolote,ni usenge kumuacha Jesus au Trossad nje na kumpanga Kai mechi ngumu kama hii,Kai ni legelege kama bwabwa,ni mfanyakazi hewa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.