Hata kama jenga hoja
Sasa mbona unalopoka
Ovyooo au unamatatizo ya akili
Tujue kabsa tusihangaike na ww maana unatoa statistic za kiboya 2 kuna haja ya kukupima akili inawezekana hujui hata unachokitaka chief..
#2015 changes is inevitable
Chief kama ww ni chama cha mapinduzi jaribu kubase kune ilani ya chama ili watu tuelewe vzur sasa matusi na kejeli sijui kama ni kipaumbele cha watanzania mwaka huu jikite kueleza sera maana matusi hayawezi kumfanya mtu amchague mgombea wako ila utazidi kusambaza chuki kwa watz na watachukia...
Watanzania itatuchukua muda sana
Ningewaona ya maana kama mngekuwa mna list sera za kila chama na kuzichambua na sisi ambao hatuna vyama 2jua 2nachagua chama gani lkn mnaishia majungu kama wamama wa uswahilini wanaouza vitumbua kwa style hii 2tawacndikiza watu wale wale tangia nchi ipate uhuru...
Umeongea vizur sana chamsingi tusubiri tusikie sera matusi kejeli hayawezi kutujenga pima sera usiangalie chama lasivyo mtaishia kulalamika mpka mnaingia kaburini,nikutoe wasiwasi kaka kuna mdahalo mkubwa sana mwezi ujao ambao unaandaliwa na jumuia ya wafanyabiashara tz iyakayo fanyika mlimani...
✌✌✌ tunataka hoja kama zako kaka hongera sana watanzania wanataka mabadiliko mwaka huu na siyo ki2 kingine so kuchafuana na kunyosheana vidole sijui kama ndo mahitaji ya watanzania mwaka huu...!!!
Kupanga ni kuchagua na kumbuka
Mapenzi ni feelings so usimjudge diamond maana hakuna sehem imeandikwa ni dhambi kuoa mwanamke aliyekuwa na watt 2fikie mahali 2ongee vitu vya maana coz maisha yake hayakupi ww kula hata ukisema mpka mwaka kesho
Kweli akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa masikini anamwombea tajiri njaa duh..nashukuru akili yng inauwezo wa kupambanua mambo pole mtanzania uliyekubali kufa masikini kwa kuwaza ujinga
Napata shida sana
Kuwaelewa maana hamtusaidii
Kujua sera na dhamira ya wagombea ila mmejikita kutaja majina na kuongea vitu vya kusadikika hakika havitujengi hata kidgo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.