mimitungi
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 737
- 261
Safi sana. Watanzania hatujui sheria na tunawategemea ambush lawyers.Ha ha ha. Propaganda hizi, mara ohh mpaka atimize miezi 3 ndio hapitishwe kuwa rais. Yapo wapi??? Tukutane jukwaani!
Safi sana. Watanzania hatujui sheria na tunawategemea ambush lawyers.Ha ha ha. Propaganda hizi, mara ohh mpaka atimize miezi 3 ndio hapitishwe kuwa rais. Yapo wapi??? Tukutane jukwaani!
Habari wadau,
Kuna uzi umepandishwa hapa jamvini kuhusu UKAWA kuvunjika rasmi kanda ya kusini(Lindi &Mtwara) kama mdau nililazimika kupata ukweli wa taarifa hizo, zifuatazo ndio taarifa rasmi kutoka majimbo mbalimbali ya kusini
Itakumbukwa kwamba katika mgawanyo wa majimbo uliotangazwa hivi karibuni na kwa kuzingatia vigezo vya msingi vya ugawanaji wa majimbo kama vilivyotangazwa,majimbo yote ya mkoa wa Lindi na majimbo karibia yote ya mkoa wa mtwara yamekabidhiwa kwa chama cha wanainchi CUF,na majimbo matatu yakikabidhiwa kwa chama cha NLD
Tayari maandilizi ya kutosha yamefanyika kwa wagombea wa chama cha wanainchi CUF, wa Ubunge na wale wa udiwani wameshachukua form za serikali wameshazijaza tayari kwa kuzirejesha.
Kwa mshangao mkubwa mapema juzi na jana tena kwa mshangao mkubwa wagombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA majimbo yote ya Mkoa wa Lindi na Mtwara nao wameenda kuchukua form za serikali wamezijaza na kuzirudisha.
Wanainchi wapenda mabadiliko,wanachama wa CUF na NLD wanahoji hayo ndio mashirikiano yaliokuwa yanahubiriwa na UKAWA!?
Na kwa nini CHADEMA wameamua kuchukua hatua hiyo kwenye majimbo ya CUF vipi nao wangefanyiwa Uhuni kama huo kwenye majimbo yao wanayokubalika hali Ingekuwaje?
Tayari kutokana na sintofahamu hiyo wanainchi, wanachama na viongozi
waandamizi wa CUF wa majimbo wamehaidi kutokumuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA Ndugu lowassa kama viongozi wa CHADEMA hawatasawazisha hali hiyo .
Niandikapo uzi huu vurugu za wanachama zinaendelea kutanda karibu kila kwenye Ofisi ya CUF majimbo ya kusini wakitaka kujua hatima ya UKAWA.
Kutokana na sintofahamu hiyo ni dhahiri kama itaendelea Lowassa hataokota kura hata moja kusini.
Ni dhahiri pia
Kwa ubinafsi huo unaoneshwa na CHADEMA hakika sioni kama UKAWA unaweza ukaingia Ikulu
Swali ambalo najiuliza na hakika ningefurahi kama ningepatiwa majibu,
Hivi ni kweli CHADEMA wanamtaka lowassa haingie ikulu au wao wana ajenda yao nyingine tu?
Huo uzi cyo wakweli.
Hatuwaamini kwa propaganda hizi za kitoto."Hivi ni kweli CHADEMA wanamtaka lowassa haingie ikulu au wao wana ajenda yao nyingine tu?"
Biashara imeshaisha zamani Mbowe keshapata za kwakwe sa hivi anabadili santuri kila dakika ili nyumbu waendelee kucheza uwanjani, Muziki ukiisha tarehe 25/10 nyumbu watakosa pa kwenda kwani tayari DJ atakuwa hayupo ukumbini!
[/COLOR][/I][/B]
Nimekupata mkuu.ndugu yangu katika wakati kama huu,, kuna wanaukawa na wanaukawa njaa( mamluki waliopewa pesa na ccm kuangusha nguvu ya ukawa ) hivyo watu kama hao wapo maana ccm wanatumia kila namna kujiokoa
Wamevurugwa wakavurugika. UKAWA NI NOMA.wamesaidia coz ccm iliandaa hela kuwahonga watu wajitoe kwenye kinyanga'anyiro...sasa jamaa wakazinyaka..wakaruhusu watu wachukue forms wa kutosha...haya sasa ccm iwahonge wooote wajitoe....jaman siasa ni zaidi muionavyo
nao chadema wasichojua lowasa anawatumia tu,ikitokea amepata urais,lazima atawadump tu.
msije shangaa mbowe akaenda kuwa mkuu wa wilaya ya rufiji.
huku kina chenge ndo wanakamata nyadhifa.....
Unakubali kushindwa kabla mkuu. Acha kuhisi na kupiga ramli.Napata hisia muungano wa hivi vyama hauko sawa na hauna uwiano, hawaaminiani na kuna harufu kuwa kuna kuburuzana hivyo wengine wanakubali maazimio kwa maneno tu wakija katika utekelezaji kutakuwa na shida kubwa kwani malengo yao hayako sawa. Naanza kuona uwezekano wa watanzania kuhuzunishwa mpaka wataacha kabisa kushiriki katika mambo yote ya siasa za upinzani huko mbele
Kukaa Kwako Kijijini Huku Ukila Nzige Na Mizizi Kusikufanye Utuchukie Tunaojitambua Na Tunaishi Mjini. Endelea Kutulimia Mazao kisha Tuje Tuyanunue Huko Kwenu Ulipo Kwa Bei Ya Kuwalalieni. UPOPOMA Wenu Watu Wa Vijijini Ndiyo Unawaponza Ila Nafurahi Tu Kuwa Wengi Wenu Ni Wapiga Kura Wetu WAAMINIFU Sana Na Mno Na Naamini Hata Mwaka Huu Kura Zetu Mnazo Tena. Nisalimie Wana Vijiji Wenzako Wote Huko KYAKA NKUNDE Na IKUPILIPA NKOBA.
Unakubali kushindwa kabla mkuu. Acha kuhisi na kupiga ramli.
Habari wadau,
Kuna uzi umepandishwa hapa jamvini kuhusu UKAWA kuvunjika rasmi kanda ya kusini(Lindi &Mtwara) kama mdau nililazimika kupata ukweli wa taarifa hizo, zifuatazo ndio taarifa rasmi kutoka majimbo mbalimbali ya kusini
Itakumbukwa kwamba katika mgawanyo wa majimbo uliotangazwa hivi karibuni na kwa kuzingatia vigezo vya msingi vya ugawanaji wa majimbo kama vilivyotangazwa,majimbo yote ya mkoa wa Lindi na majimbo karibia yote ya mkoa wa mtwara yamekabidhiwa kwa chama cha wanainchi CUF,na majimbo matatu yakikabidhiwa kwa chama cha NLD
Tayari maandilizi ya kutosha yamefanyika kwa wagombea wa chama cha wanainchi CUF, wa Ubunge na wale wa udiwani wameshachukua form za serikali wameshazijaza tayari kwa kuzirejesha.
Kwa mshangao mkubwa mapema juzi na jana tena kwa mshangao mkubwa wagombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA majimbo yote ya Mkoa wa Lindi na Mtwara nao wameenda kuchukua form za serikali wamezijaza na kuzirudisha.
Wanainchi wapenda mabadiliko,wanachama wa CUF na NLD wanahoji hayo ndio mashirikiano yaliokuwa yanahubiriwa na UKAWA!?
Na kwa nini CHADEMA wameamua kuchukua hatua hiyo kwenye majimbo ya CUF vipi nao wangefanyiwa Uhuni kama huo kwenye majimbo yao wanayokubalika hali Ingekuwaje?
Tayari kutokana na sintofahamu hiyo wanainchi, wanachama na viongozi
waandamizi wa CUF wa majimbo wamehaidi kutokumuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA Ndugu lowassa kama viongozi wa CHADEMA hawatasawazisha hali hiyo .
Niandikapo uzi huu vurugu za wanachama zinaendelea kutanda karibu kila kwenye Ofisi ya CUF majimbo ya kusini wakitaka kujua hatima ya UKAWA.
Kutokana na sintofahamu hiyo ni dhahiri kama itaendelea Lowassa hataokota kura hata moja kusini.
Ni dhahiri pia
Kwa ubinafsi huo unaoneshwa na CHADEMA hakika sioni kama UKAWA unaweza ukaingia Ikulu
Swali ambalo najiuliza na hakika ningefurahi kama ningepatiwa majibu,
Hivi ni kweli CHADEMA wanamtaka lowassa haingie ikulu au wao wana ajenda yao nyingine tu?
Kukaa Kwako Kijijini Huku Ukila Nzige Na Mizizi Kusikufanye Utuchukie Tunaojitambua Na Tunaishi Mjini. Endelea Kutulimia Mazao kisha Tuje Tuyanunue Huko Kwenu Ulipo Kwa Bei Ya Kuwalalieni. UPOPOMA Wenu Watu Wa Vijijini Ndiyo Unawaponza Ila Nafurahi Tu Kuwa Wengi Wenu Ni Wapiga Kura Wetu WAAMINIFU Sana Na Mno Na Naamini Hata Mwaka Huu Kura Zetu Mnazo Tena. Nisalimie Wana Vijiji Wenzako Wote Huko KYAKA NKUNDE Na IKUPILIPA NKOBA.