chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,307
Natamani Kuwe Na Presidential Debates...Hz Figisufigisu Sijui Hana Vision Ztajulikana Tu...By The Way 4days Remainng Kufikia Ile Siku Ya Hawa Tunaosema Mara Wengne Wagongjwa,hawana Vision Watueleze Waliyo Nayo Na Chama Chao....
hatuhitaji mgombea wetu akalishwe sehemu moja na mwana ccm,hatuna cha kujadiliana na ccm,tuna kazi ya kuitoa tu