Bado hujaujua upweke ndugu
Na wengine hatuna hao unaosema
Na hiyo social network inaongeza upweke na siyo kupunguza
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Madereva wa malori yanayotumia bandari ya Dar es Salaam waandamana kulalamikia ucheleweshaji wakushgulikiwa taratibu za mizigo yao na kusababisha kukaa muda mrefu mpaka wa zaidi ya siku moja bandari na wakidai kuwa ucheleweshaji huo ni scanner za humo kutofanya kazi Kwa ufanisi kwa lisaa moja...
Nauliza tu kutaka kujua, kuna nchi yoyote duniani ina mfumo wa vyama vingi halafu katika bunge lao hakuna kiti alichoshinda mpinzani?
KUMBUKA : Usitaje nchi zisizo na demokrasia kama Tanzânia
Kila mtu ana sehemu yake ana mipango wengine bar, kitandani na nk.
Mimi binafsi mawazo ya mipango yangu naipanga nikiwa
1) Kitandani wakati nautafuta usingizi
2) Katika Daladala
3) Chooni nikijisaidia haja kubwa
Je wewe unawazaga wapi mipango yako?
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa kwamba Tigo Itaichukua Zantel moja kwa moja,Ninavyojua mimi Zantel inamilikiwa 51% na Serikali ya Zanzibar na 49% inamilikiwa na Tigo,je wakiichukia Tigo Zanzibar Hisa zao zinaenda wapi?
Wajuvi msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.