Recent content by Mwanamena

  1. Mwanamena

    Kwa nauli hizi, tunapaswa kuihoji serikali

    Tuliambiwa chawa wanaumiza hatuelewi. Mpaka tuseme na tutasema tu.
  2. Mwanamena

    Msaada tafadhali nataka kutuma mzigo Mbinga

    Nenda New force bei zao reasonable. super feo amemiliki njia ana gharama sana
  3. Mwanamena

    Matapeli wenitapeli lak 1 niliagiza maharage ya njano kilo 50

    Umeshauri vema sana kiongozi. Wengine wanamshambulia vikali sana. Nadhani yatupasa tuelelewe kuwa kwenye mitandao biashara zinafanyika Kwa uaminifu zaidi zaidi. Ilitokea mtu ametapeliwa ni utapeli kama utapeli mwingine.. siyo dhambi kufanya biashara Kwa Imani na Kwa uaminifu.
  4. Mwanamena

    Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

    Wanauwezo tofauti kiongozi. Hawa wao Huwa wanakwambia hili Mimi siliwezi.
  5. Mwanamena

    Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

    Huko wengine tunatafuta tiba tu.
  6. Mwanamena

    Hatimaye baada ya mangaiko ya muda nauona mwanga

    Huko Kuna nuksi na mikosi kiongozi. Unataka awe anapiga gamble na mademu
  7. Mwanamena

    Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

    Umeongea vema sana Mkuu. Naye ni Mzimu sema ukiwaleza wafia dini. Mmoja nimeona anasema Acha Imani potofu, nikajiuliza mwenye Imani potofu yupi anaeabudu Mila zake au anaeabudu za wazungu, yupi amepotoka kiimani.?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. Mwanamena

    Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

    Naamini wewe ndiye unaimani potofu. huyu anaongelea Imani ya asili yake. Kumbuka hapo watu waliku wanapajua kuwa Pana volcano, na utaratibu wake wa kuituliza kwa asili.
  9. Mwanamena

    KINANA: Wakati wa Uhuru Kawawa alikuwa mkono wa kushoto wa Mwl Nyerere huku Bibi Titi akiwa wa kulia, ampongeza Rais Samia kuanzisha " BIBI TITI DAY "

    Katika hili nzaiona rangi za nyota na mwezi zaidi kuliko uhalisia. Maana kama kuenziwa alishaenziwa. Alipewa Mtaa jikini Dar. Huko siyo kuenziwa?
  10. Mwanamena

    Nakala ya asili ya Goetia

    Nimedhani peke yangu. Kumbe wengi tumeachwa. Nitaisoma mara ya pili
  11. Mwanamena

    Nakala ya asili ya Goetia

    NIMESHINDWA hata kuelewa, maana naona maneno niyoyajua mengi nashindwa kupata maana, kiswahili siyo kingereza siyo, hata sijaelewa. UNGA UMEZIDI MAJI LEO.
  12. Mwanamena

    TAHADHARI: Mvua kubwa kunyesha Mikoa ya Dar, Pwani, Moro, Tanga, inaweza kusababisha Vifo

    UKanda wa Mikumi hadi Kilombero kumechafuka hatari, ni mvua tu saizi.
  13. Mwanamena

    Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

    Aisee duniani Kuna mambo mengi sana. Nyama zipo chini tuendelee kunywa mtori
Back
Top Bottom