Safi sana ndugu... inaonekana ni kweli Yesu aliuliwa kwasababu za kisiasa zaidi,kuliko kidini kama tulivyolishwa tango pori... kwasababu hata mie hua najiulizaga iweje israel iwe na wakristo wachache zaidii kuliko Mbeya?
ALBADIR ndiyo ilinifanya nianze kuchunguza mambo ya dini, maana ilikua inanipa ukakasi kidogo... iweje MUNGU huyu huyu mwenye upendo kwa watu wake,aweze kuwadhuru vibaya waliokuwemo na mpaka wasiokuwepo kwasababu tuu kuna mtu aliibiwa mbuzi zake huku wengine walikula nyama yake kwenye sherehe...
Mimi ni mmojawapo wa wale tusioamini uwepo wa Mungu' ila nilikulia kwenye imani ya kikristo tena wale walokole wa kunena kwa lugha... baada ya kufika umri wa kujitambua,nikajikuta napenda tuu kuchunguza kila kitu kinachohusu dini... hiyo ikanifanya niufuatilie kwa karibu sana uislamu. Kiukweli...
Heshima kwako mleta uzi,mie nafarijika sana kwenye maisha yangu ninapokutana na "Great thinker" kama wewe... hakika umeni boost ubongo wangu! mie niruhusu nikuite BUDDHA.
Hili tukio sio rahisi kuamini kwamba polisi wanaweza kulitengeneza kama wengi wetu tunavyodhani... kurushiana risasi na mabomu ya machozi kwenye makazi ya watu, ni zaidi ya kuchezea shilingi chooni.
Ni kweli mapambano na jambazi yalikuwapo, ila kuna sintofahamu kubwa sana juu ya mwendelezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.