Not a belief but absence of belief?Complicated phenomenon![]()
![]()
?so it is a belief! Right
mshana jr ATHEISM SIYO IMANI.Haisapoti kuamini katika chochote(Mungu, Shetani wala kitu cha kujitengenezea) kinachoonekana au kisicho onekana.Pia kwenye Atheism hakuna kuamini uwepo wa roho.Kwenye Atheism hakuna kumtambua Mungu hivyo hakuna cha kupinga au kuamini katika Mungu.Hakuna haja ya kujisumbua kuiona roho maana haipo, vile vile unaposema kuiona akili, tambua kwamba akili ni mjumuiko wa vitu vingi kama:
Reasoning
Memory storage
Recalling
Spatial ability/function
Thinking etc.
Hizo ni kazi ya cell za ubongo...Brain cells ndizo zinazofanya kazi mbalimbali ambazo kwa ujumla ndio zinaitwa akili.
Kama kuna sehemu umekosea ni kusema kuwa Atheism ni imani...Hii siyo imani maana haiamini wala kusimamia chochote....Atheism ni kule kuishi huru bila kufungamana wala kuamini chochote.
Contradiction must involve two things opposing each other....Now according to your question, what is a base of contradiction? what are the two sides opposing each other?Can't you just see that this is a total contradiction?
What is belief?Not a belief but absence of belief?
Atheism ni ukosefu wa imani juu ya uwepo wa Mungu/Shetani(Deities)...Uhuru niliomaanisha ni ule wa kutokufungamana na kinachoitwa amri/sheria za Mungu/shetani....Ingawa sheria hizo zaweza kuwa ni maisha yetu ya kila siku, na kama ni kuzitekeleza ni kwa hiyari na siyo kwa shurti.Hakuna uwepo wa kiumbe kimoja peke yake, ndio maana hata kuza unahitaji viumbe wawili....Mtu kusema najihamini ni Imani lakini haisimamii kwenye Mungu wala Shetani....kuna imani mbali mbali, lakini imani isiyokubalika kwenye Atheism ni ya kuwepo kwa Mungu/Shetani.Unapotamani kuishi huru na bila kuamini chochote hiyo utaita ni nini?Imani ni nini? Sio kusadiki?Na hao Atheists matamanio yao ya kuwa watu huru na wasioamini lolote sio usadikifu juu ya kuwa huru na usadikifu wa kutofungamana na chochote(kadri ya ufafanuzi wako)? Na je usadikifu huo unawezekana?
1.Je kuishi huru kupi wanakokusadiki? Je mumojawapo katika kundi hilo anaweza kwenda kuishi Bara la Antaktika bila uhitaji wa mtu mwingine?Je unaweza kuwa huru bila kumhitaji kiumbe mwingine yeyote?Je unapomuhitaji kiumbe mwingine yeyote yule ili uishi je bado uko huru?
2. Unaweza kutoamini katika chochote kile?Kama ndivyo je kule kutamani kuishi huru hiyo siyo imani?
Je,unapohitaji hewa ya oxygen ili uishi bado hiyo siyo imani?Je unapofahamu na kukubali kuwa dunia ni duara je hiyo siyo imani?
Atheism ni kutokuwepo kwa Imani na siyo kuamini kwenye kutokuwepo kwa imani...Kumbuka Imani isiyotambulika kwenye Atheism ni ile inayoenezwa na dini ya kumwamini/kumkataa Mungu/Shetani.Belief in the absence of belief/ imani pasipo imani
Okay kwa hiyo tunaweza sema ni imani ya kupinga uwepo wa Mungu?Atheism ni kutokuwepo kwa Imani na siyo kuamini kwenye kutokuwepo kwa imani...Kumbuka Imani isiyotambulika kwenye Atheism ni ile inayoenezwa na dini ya kumwamini/kumkataa Mungu/Shetani.
Hapana Atheism siyo dini.Dini husimamia kwenye Imani juu ya Mungu, Miungu ama Shetani (Deities).Ili ujenge imani juu ya hizo Deities, lazima uwe na imani kwamba vipo.Lakini maana ya Atheism ni ukosefu wa imani juu ya uwepo wa hizo Deities.What is faith?
etymology ▼ show
pronunciation
(IPA): /bɪˈliːf/
noun
(plural beliefs)
Mental acceptance of a claim as likely true.
Faith or trust in the reality of something; often based upon one's own reasoning, trust in a claim, desire of actuality, and/or evidence considered.
Kwa hiyo atheism ni dini.
MkuuWhat is belief?
etymology ▼ show
pronunciation
(IPA): /bɪˈliːf/
noun
(plural beliefs)
Mental acceptance of a claim as likely true.
Faith or trust in the reality of something; often based upon one's own reasoning, trust in a claim, desire of actuality, and/or evidence considered.
Kwa hiyo atheism ni dini.
Hapana Atheism siyo dini.Dini husimamia kwenye Imani juu ya Mungu, Miungu ama Shetani (Deities).Ili ujenge imani juu ya hizo Deities, lazima uwe na imani kwamba vipo.Lakini maana ya Atheism ni ukosefu wa imani juu ya uwepo wa hizo Deities.
View attachment 395344
kwenye ulimwengu wa vipimo kuna ujazo mbalimbali kama robo nusu na kitu kamili nk.. nusu mbili hutengeneza kitu kamili robo mbili hutengeneza nusu.
Kuna kamchezo ukimtuma mtu asiye mwaminifu akuletee kitu kinachohusika na vipimo kupiga bao! Ukimtuma kilo moja yeye ataleta nusu na robo.
Duniani tuna imani mbalimbali kuanzia zinazoabudu Mungu mmoja,miungu vitu vinavyoonekana hata masanamu kwenye hizi imani kuna mitifuano na mikanganyiko mingi tuu..lakini kiboko ya imani zote ni hii isiyomwamini Mungu mmoja
Jaribu kumuuliza atheist yeyote kwanini huamini katika Mungu atakwambia kwakuwa hajawahi kumuona! Ila muulize kama alishawahi kuiona akili yake au roho yake...hatakupa jibu moja na la moja kwa moja
Hii ni imani isiyotimia isiyojua dhima yake mwanzo wake wala muktadha wa nini inasimamia
Ni imani chongo yenye kengeza barobaro...ikiamini isichokiamini..ikifuata isichokijua
Je atheism ni;
Kuabudu miungu?
Kuabudu shetani?
Kuabudu masanamu?
Kuabudu vitu ?
Ama kutoabudu chochote?
Kila imani ina maelezo fulani kwenye chochote na kila swali lina jibu lake tusiiweke sayansi kwenye kundi la imani..hili ni Somo kama masomo mengine
Kutoamini chochote ni mkanganyiko tu wa akili kwakuwa mwisho wa siku utajikuta unaangukia kwenye imani yoyote japo kwa kificho na imani ya kutoamini chochote ni imani isiyotimia
Mkuu
Atheism si dini ila ina viashiria vya udini
Kwa sababu inajikita kwenye masuala yanayo husu Mungu, ni sawa na kukuta mtu amenyoa kipara halafu ukasema ni staili ya nywele
Atheism ni ukosefu wa imani juu ya uwepo wa Mungu/Shetani(Deities)...Uhuru niliomaanisha ni ule wa kutokufungamana na kinachoitwa amri/sheria za Mungu/shetani....Ingawa sheria hizo zaweza kuwa ni maisha yetu ya kila siku, na kama ni kuzitekeleza ni kwa hiyari na siyo kwa shurti.Hakuna uwepo wa kiumbe kimoja peke yake, ndio maana hata kuza unahitaji viumbe wawili....Mtu kusema najihamini ni Imani lakini haisimamii kwenye Mungu wala Shetani....kuna imani mbali mbali, lakini imani isiyokubalika kwenye Atheism ni ya kuwepo kwa Mungu/Shetani.
Ili kuzuia mafuriko lazima mafuriko yawepo au yawe yamewahi kutokea...kama hujawahi kuona mafuriko wala hayajawahi kuwako huwezi kuyazuia.Kwa hiyo Atheism haipingi uwepo wa Mungu bali haitambui uwepo wa Mungu kutokana na kukosekana kwa ushahidi wenye nguvu.Kupinga kitu ni kule kukataa kukikubali hata kama kitakuwepo, lakini kwenye Atheism ukipeleka ushahidi wa kueleweka kwamba Mungu yupo, basi Imani juu ya uwepo wa Mungu itakubalika.Kukataliwa kwa imani juu ya uwepo wa Mungu kwenye Atheism ni kutokana na ukosefu wa ushahidi wenye nguvu juu ya uwepo wake na siyo kwamba ni kasumba ya kukataa tu.Kama Mungu atajitokeza leo na kujidhihirisha kwa watu, Atheism itafikia ukomo wake.Okay kwa hiyo tunaweza sema ni imani ya kupinga uwepo wa Mungu?