Mmmhhh! Kama ni kweli hao wamezidi sasa. Ubaguzi wa aina yoyote ni wa kulaaniwa. Nilishangaa sana nilipoenda Saudi Arabia sikuona kanisa hata moja. Niliambiwa Wakristo wanasali sehemu flani flani kwa siri. Sijui huko Iran, Kuwait, Qatar, Bahrain, Afghanistan, Iraq nk Wakristo wana uhuru kiasi...