Chanzo cha mgogoro huu ni upande wa mke, kumuunga mkono mtoto wenu badala ya kuwa sehemu ya usululishi,kwa hakika huyo binti yenu atapewa taraka.Mwisho kumetokea utamaduni hasa wazazi ,ndugu jamaa wa upande wa mke kushindwa kuwaonya watoto wao panapotokea migogoro katika ndoa zao hasa binti...
Mpira hauhitaji maneno mengi,mpira unachezwa hadharani,ukiujua unaujua tu sio ugenini wala nyumbani na mwisho unahitaji mipango na mikakati katika kufanikiwa
Habari wanajukwaa,
Kutokana na hali ya upatikanaji wa sukari kuwa mgumu,si vibaya tukajua bei ya sukari kwa kilo ni kiasi gani kwa eneo la kila mwana jamii forum alipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.