THERE IS NO DOUBT THIS YR CHRISTMASS HASS BEEN UNPLEASANT TO ATCL WORKERS AND THEIR FAMILIES..IN VIEW OF BITTING DOUBLE -DIGIT INFLATION,THE POOR WORKERS WILL FIND THIS FESTIVE TOO LONG TO BEAR
SUPRISINGLY ,TH AIRLINES OBVIOUS SHUTDOWN HAS RESULTED IN FINGER POINTING WITH EACH BLAMEING THE...
Merry xmass mgonja,nsalimie wote huko keko
cheers merry xmass n happynew yr hakimu mwankenja
kila la kheri wote
tunatumaini yote ni mapenzi ya mungu kusherehekea huko
ooooooooohhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
jf members 2
Tuhuma za wafanyakazi atcl zifanyiwe kazi haraka sana
--------------------------------------------------------------------------------
Tuhuma za wafanyakazi ATCL zifanyiwe kazi haraka
Basil Msongo
Daily News; Sunday,December 14, 2008 @09:42
Najivunia kuwa Mtanzania, naipenda nchi...
Tutangaze hali ya hatari mauaji ya albino
Faraja Mgwabati
Daily News; Sunday,December 14, 2008 @20:03
VITENDO vya mauaji ya albino nchini kwa imani za kishirikina, vimevuka mipaka na kulifanya jambo hilo siyo tena la kubembelezana, bali nguvu inahitajika kutumika kuondoa aibu hii...
Benzi la Daniel Arap Moi lililoibwa Kenya lakamatwa Arusha
Na Hemed Kivuyo,Arusha
WIZI wa magari katika ukanda wa Afrika Mashariki, sasa umekithiri baada ya wezi kuiba gari aina ya Mercedes Benz linalomilikiwa na rais mstaafu wa Kenya, Daniel Arap Moi.
Kuibwa kwa gari hilo ni moja ya...
Jamani si angemlaza tu mpaka january 2..aone mwaka mpya unakuwaje akiwa keko!!!!!mhhhhhhhhhhhhhhh sijui nani atalia newyr keko!!!
Keko keko weeeeeeeeee keko mbona unatupenda hivyo hata ubagui jamani
nimeamini
kweli jela haina mwenyewe
*Mwingine aongezwa katika orodha ya ufisadi wa EPA
Na Nora Damian
Mahakama ya Kisutu Jumatatu yalikuwa eneo la pilikapilika kwa mara nyingine baada ya aliyekuwa katibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Gray Mgonja kupandishwa kizimbani akituhumiwa kutumia vibaya ofisi na kuisababishia...
ndugu wenzangu ni hali ya kusikitisha sana inayowzukia hawa ndugu zetu albino's...imefika sasa hata watoto albino's ukiwakuta wanavuka barabarani ukawafwata kuwasaidia wanakimbia kama mwewe........
inasikitisha sana JK kutokuwa makini na hili..nimekaa nikafikiria wote ni binadamu na tuna hisia...
mimi bado nawashangaa hawa ndugu zetu wa TCAA...how come rubani anatoka shulen ana masaa 250 tu anakuja moja kwa moja kurusha ndeege yenye abiria 150...je mnalijua
hili endapo PILOT AKIZIDIWA hamna kitu tena...tunaokota ..........*****
???
--------------------------------------------------------------------------------
Je hayo magari yatatolewa lini??na aliehusika kuyaleta na kushindwakuyatoa aliwajibika???
kuna fununu kuna baadhi ya waliohusika katika kuleta magari haya ama kwa kwenda kuyaangalia ama kusaini kati ya moja ya...
KULETA MARUBANI WASIO NA RATES
ndugu mwenyekiti..kumekuwa na malalamiko ya ajabu ajabu huko kwenye kampuni yako!!!kuhusu hawa marubani wa kizungu mnaowaleta..labda kwa taarifa yako tu kuna kampuni inaitwa easyway...kampuni hii imekuwa ikiwafanyia trainning wanafunzi wanaotoka fresh from school...
AJIRA MBOVU
swala la ajira nahisi si la kuongelea sana maana hata wewe umehusika kuna baadhi ya watu walikuja kwako ukawaelekeza waende kumuona dav na hivi sasa wamejazana matokeo yake ..umejaza watu ambao si qualified kwa minajili ya kujuana na uswahiba...mwisho unafikia kulalamika hmna pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.