Mimi ni kijana wa kiume;naishi dar nafanya kazi taasisi moja ya kifedha hapa jijini dar,nafuta mchumba ambaye yupo seriousy takakae kuja funga naye pingu za maisha
Vigezo
Awe mweusi na mnene wastani
Awe mrefu wastani
Awe mkristo
Awe ameajiriwa au anafanya kazi hususani mwalimu
Awe tayari kupima...
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo
1.awe mkisto
2.awe mrefu wastani na mnene wa kati rangi mweusi
3.awe tayari kwenda kupima HIV
Habari wana jf,Natafuta gari aina ya Nissani note iwe no C au D pia iwe inatumia petroli/gasoline iciwe inadaiwa vibali wala kugongwa au kupakwa rangi.
Kutekeleza matakwa ya katiba kuwa mgombea mwenza lazima atoke chama kimoja ,Lowassa alivokosa urais Duni tabidi arudi CUF sasa chakushangaza ni nini labda !!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.