Recent content by Mwanafikra huru

  1. M

    Nitazungumza na Watanzania kuomba ridhaa ya kuwania Urais

    Huyu naye? Kwanza jifunze kuendesha wizara , thamani ya shilingi inaporomoko wewe unautaka Urais.hivi Urais umekuwa Rahisi hivi?,fwata utaratibu!
  2. M

    Lema: Ubabe siyo dhambi, inategemea ubabe huo unaufanyia wapi

    Lema si aende mstuni akoneshe ukakamavu wake huo woga woga huku unatemebelea gari mayai,woga unakimbia mbuu sasa ni woga gani huo aende mstituni alfu awe na kundi lake nayo ni namna ya kuonesha ujasiri
  3. M

    Kazi kazi kazi mpya

    Naongea na mwenye mbwa siongei na mbwa
  4. M

    Mkutano wa Marais: Tanzania tunashindwa kuandika neno la kiingereza "Extraordinary"

    Acha kuwa mtumwa wa lugha za watu hata tukikosea sawa mbona Rais wa China alizungmza kichina unaweza kujua alikosea wapi?
  5. M

    Kwa wasiomjua BENJAMIN MKAPA, tafadhali soma hapa!

    dhaa kweli wewe mapoloyomoko hahahahaha
  6. M

    CUF kulikoni mkoani Tabora?

    Vyama vya upinzani umoja wenu ndo kunaweza kuwa poneo kwenu kuinusa ikulu ubinafsi na woga wa kuwa tukiungani mimi ntakuwa nani au ntabaki kama nani bado safari ni ndefu
  7. M

    Contact za Freeman Mbowe

    Ya Ridhiwani,Makinda,Ngughai,Zitto,mkuu wa mkoa wa Arusha,Ludovic,Nchimbi zilitolewa wazi bila ya kificho na hao hao chadema mbona hapa mnasita kutoa hizo number na wengne wanakuwa wakali utadhni wengne kwao halali ila kwa hawa haramu? ?????
  8. M

    Namba ya Simu ya Zitto katika TAMKO kuhusu kesi ya Lwakatare

    Ooh! Masikini Zitto my be mwana siasa hodali na mzalendo anaye fanya kazi ya kizalendo chini ya mwavuli wa wafanya biashara why always you? Thinking loudry? Mbona hajawahi guswa au tajwa Mbowe au Dr Slaa je hawa ni wasafi 100%?? Naamini ipo siku utachoka na utaamua kuwachia ila historia...
  9. M

    Tahadhali/tahiyari kwa watumiaji wa vinywaji baridi aina ya COCACOLA

    Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro Robert Boas wamemtia mbaroni mtu mmoja mjini Moshi kwa tuhuma za kuzalisha kienyeji soda jamii ya Cocacola zinazoz zalishwa na kiwanda cha Bonite Bottle LTD Kiwanda hicho kinacho milikiwa na Mkrugezi Mtendaji wa IPP Reginald Mengi na kuzalisha soda...
  10. M

    Tahadhari kwa wanunuzi wa mbao pale Buguruni ktk maduka ya mbao

    We Rubi "Yeru" ndo nani? Mm kalale huko
  11. M

    Prof Chinua Achebe is dead

    Mwandishi Mkongwe wa vitabu toka nchini Nigeria Prof .Chinua Achebe amefariki dunia akiwa nyumbani kwake huko nchinu Marekani alipo kuwa akifundisha Brown University Prof.Chinua ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 82 inasemekana hivi karibuni amekuwa akihudhulia hosptilini mara kwa mara...
  12. M

    Arusha kuchafu sana

    poor reasonings capabilities so what is your credibility nosense
  13. M

    Kikwete na bongo za Watanzania Ughaibuni!

    Intresting lakini sijui kwa serikali yangu kama yuko atakaye chuku hata Note hii muhimu hata kama wakiona mara nyingi.........!
  14. M

    January Makamba

    hata angefanya ungesema? Taja unao wajua walio fanya basi
Back
Top Bottom