Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Hakuna mtu aliyekwishawahi kumuumbua waziri mkuu kwa kusema Uongo hadharani.
Bila Lema, Wasaliti ndani ya chama wangeendelea kuwepo mpaka leo na kufanikisha malengi ya CCM ya kukiua chama, bila Lema, tungeendelea kuwa na Madiwani mapandikizi Arusha, bila ya Lema, viti vinne vya Udiwani Arusha, CCM kwa wizi wao wangeweza kuambulia japo kimoja.
Bila Lema........
Upo sahihi kabisa mkuu