Recent content by Mwanachibhira

  1. Mwanachibhira

    Kigoma: Daktari feki aliyetibu kwa muda wa miaka 10 akamatwa

    Jamaa alikuwa vizuri anapiga kazi na analipwa mishahara,akiwa Ndanda tulikutana pale Ndanda Hospital anapiga kazi ni mtaalam sema hakuhitimisha degree kwa hila za Lecturer mmoja pale Muhimbili.
  2. Mwanachibhira

    Kigoma: Daktari feki aliyetibu kwa muda wa miaka 10 akamatwa

    Jamaa kasoma na uwezo anao,form six div one Iliboru,alikuwa Muhimbili akadisco mwaka wa mwisho kwa kutofautiana na lecturer lakini uwezo anao sema hakuhitimisha Md yake,watu kama hawa ni kuangalia jinsi ya kumsaidia kumaster ili awe mtaalam nzuri hapo baadae.
  3. Mwanachibhira

    Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

    Haka hakana jipyyaaaa
  4. Mwanachibhira

    Vifo na Vipigo JKT intake June 2014 vichunguzwe

    hayo ndo matokeo ya CCM wanampango wa kuwamalza vjana kwn ndo wapinzani wao wakubwa!!! alafu et hakuna kuajliwa kama hujapita JKT ------- what z jkt 4? to kill our present and future generation! mm nakataa jkt kwan sioni faida yake ata kdogo kwn kama swala uzalendo mbona walio pitia jkt ndo...
  5. Mwanachibhira

    Kati ya mke na mume nani muongo zaidi kwa michepuko?

    Jamani hyo dawa kapitsha nani maana najua ufuska co jambo zr! kwn mazoez yapo meng tofaut na ufuska!
  6. Mwanachibhira

    Banda afuta Uchaguzi Malawi, utarudiwa ndani ya siku 90

    Kimsingi mpaka sasa wana JF najiuliza amefikiria nini mpaka kufuta mchakato mzima wa uchaguzi na huku akijua nchi ilikuwa imekisha tumia mamilioni ya shilingi, nafikiri ndo mwanzo wa kuanza kukiuka katiba ya Taifa la Malawi,au ndo anajipanga kuiba?
Back
Top Bottom