Jamaa alikuwa vizuri anapiga kazi na analipwa mishahara,akiwa Ndanda tulikutana pale Ndanda Hospital anapiga kazi ni mtaalam sema hakuhitimisha degree kwa hila za Lecturer mmoja pale Muhimbili.
Jamaa kasoma na uwezo anao,form six div one Iliboru,alikuwa Muhimbili akadisco mwaka wa mwisho kwa kutofautiana na lecturer lakini uwezo anao sema hakuhitimisha Md yake,watu kama hawa ni kuangalia jinsi ya kumsaidia kumaster ili awe mtaalam nzuri hapo baadae.
hayo ndo matokeo ya CCM wanampango wa kuwamalza vjana kwn ndo wapinzani wao wakubwa!!! alafu et hakuna kuajliwa kama hujapita JKT ------- what z jkt 4? to kill our present and future generation! mm nakataa jkt kwan sioni faida yake ata kdogo kwn kama swala uzalendo mbona walio pitia jkt ndo...
Kimsingi mpaka sasa wana JF najiuliza amefikiria nini mpaka kufuta mchakato mzima wa uchaguzi na huku akijua nchi ilikuwa imekisha tumia mamilioni ya shilingi, nafikiri ndo mwanzo wa kuanza kukiuka katiba ya Taifa la Malawi,au ndo anajipanga kuiba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.