Recent content by mwanaapolo

  1. mwanaapolo

    Utumishi wa umma msalabani

    Jikaze kweli kweli ili wakati ujao uambulie pomoni!
  2. mwanaapolo

    Utumishi wa umma msalabani

    na wewe ni kilaza kweli, Jikaze! akili ndogo haiwezi elewa hata siku moja
  3. mwanaapolo

    Utumishi wa umma msalabani

    Ndugu watumishi wa umma, Tunaendelea kupita katika kipindi cha kheri na shari, Heri ya Mwaka Mpya! Kama inavyoonekana kuna wanaopata ubatizo wa maji na wengine ubatizo wa moto. Ni usawa wa kulimia meno. Tujikaze. Tuko katikati ya vita vya shetani, ibilisi na zimwi. Kila kundi likishangilia...
  4. mwanaapolo

    Mfumo wa Rais Unatengeneza Kundi Jipya la Janjajanja na Wala Nchi kwa Mgongo wa Kuisaidia Serikali

    Kula taratibu mkuu, ukila na kipofu usimshike mkono. ila huyu kipofu kuna muda kichaa kinampanda. Usije juta sikukupa angalizo.
  5. mwanaapolo

    Mfumo wa Rais Unatengeneza Kundi Jipya la Janjajanja na Wala Nchi kwa Mgongo wa Kuisaidia Serikali

    Unajua wakati raisi anaingia madarakani nilijua kuwa ndio wakati hakuna mtu yoyote atatia mkono kwenye bakuli la nyama la serikali na kujichotea minofu, hakuna mtu atapata "upendeleo" kutoka serikalini, hakuna mtu atafanya mambo kwa nyodo kwani serikali ya awamu ya 5 haina...
  6. mwanaapolo

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Mlishaambiwa lazima muishi kama mashetani, mkaanza kufurahia kwa nyimbo na mapambio. Mnapoishi kama mashetani, mnaanza kulia na kusaga meno. NA BADO, HIYO TRELA, MOVIE LITAENDELEA 2021. Mkifika 2025 mmenyooka Nchi nzima!!!! Sisi sio watu wa mchezo mchezo! Tunafanya tunacho kitamka!
  7. mwanaapolo

    Nahitaji Kujua biashara ngapi zimefungwa 2015/16?

    Mwenye takwimu sahihi naomba kujuzwa biashara ngapi na gani zimeshindwa 2015/16 na kwa nini tafadhali? Je Tanzania ni nchi rafiki kwa Start-up business? au nikawekeze Rwanda na Kenya? Vipi mikopo inapatikana ki urahisi kutoka kwa taasisi za fedha? Biashara gani zinafanya vizuri, hasa kama una...
  8. mwanaapolo

    Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

    Wachaga wamekufanya kitu mbaya wewe, kuna namna hapa sio bure, hili povu sio la nchi hii. wamekufanya nini hebu tujuze ndugu yangu?
  9. mwanaapolo

    Rais Magufuli apiga simu tena Clouds 360, awapongeza kwa kazi nzuri

    Mwambieni Pogba siku hizi tunatazama Tv E..... Chama la wana, halina mrengo wa mbogamboga wala gwanda.
  10. mwanaapolo

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Max you are the man, may Heavenly Father keep you as strong as David against Goliath
  11. mwanaapolo

    Kupotea kwa Ben Saanane: Hoja za wananchi, kinachoendelea na maoni ya Waziri Mwigulu

    They are always politicians aaaggghhhhh....hivi mwanasiasa ana ndugu na marafiki wangapi? Hypocrisy of the highest degree. bora nimuache mbwa na mbuzi wangu, naweza mkuta mzima kuliko kumuachia mwanasiasa. Unaweza kuta mbuzi amepotea, jamaa ana toothpic na maji makubwa, tumbo limefura, ngozi...
  12. mwanaapolo

    Shule ya Sekondari ya Serikali Oldonyo Sambu, watoto wanalipa Tsh 440,000 kwa mwaka

    Nimesoma Oldonyo Sambu Seminary/ Arusha Seminary/Immaculate Heart of Mary Seminary , naifahamu vizuri tu hiyo Sekondary ya Oldonyo Sambu almaarufu Mavumbini. kwa kipindi nilipokuwa shule 'Donyo" Hapakuwa na hospitali, umeme. maji yalikuwa yana upungufu wa madini yakawa yanapindisha mifupa ya...
  13. mwanaapolo

    Dua mbaya na laana zinazoelekezwa kwa Mh Rais, zitamuacha salama?

    hata mungu wa baal ni mungu pia
Back
Top Bottom