Ndugu watumishi wa umma,
Tunaendelea kupita katika kipindi cha kheri na shari, Heri ya Mwaka Mpya! Kama inavyoonekana kuna wanaopata ubatizo wa maji na wengine ubatizo wa moto. Ni usawa wa kulimia meno. Tujikaze.
Tuko katikati ya vita vya shetani, ibilisi na zimwi. Kila kundi likishangilia...
Unajua wakati raisi anaingia madarakani nilijua kuwa ndio wakati hakuna mtu yoyote atatia mkono kwenye bakuli la nyama la serikali na kujichotea minofu, hakuna mtu atapata "upendeleo" kutoka serikalini, hakuna mtu atafanya mambo kwa nyodo kwani serikali ya awamu ya 5 haina...
Mlishaambiwa lazima muishi kama mashetani, mkaanza kufurahia kwa nyimbo na mapambio. Mnapoishi kama mashetani, mnaanza kulia na kusaga meno. NA BADO, HIYO TRELA, MOVIE LITAENDELEA 2021. Mkifika 2025 mmenyooka Nchi nzima!!!!
Sisi sio watu wa mchezo mchezo! Tunafanya tunacho kitamka!
Mwenye takwimu sahihi naomba kujuzwa biashara ngapi na gani zimeshindwa 2015/16 na kwa nini tafadhali? Je Tanzania ni nchi rafiki kwa Start-up business? au nikawekeze Rwanda na Kenya? Vipi mikopo inapatikana ki urahisi kutoka kwa taasisi za fedha? Biashara gani zinafanya vizuri, hasa kama una...
They are always politicians aaaggghhhhh....hivi mwanasiasa ana ndugu na marafiki wangapi? Hypocrisy of the highest degree.
bora nimuache mbwa na mbuzi wangu, naweza mkuta mzima kuliko kumuachia mwanasiasa. Unaweza kuta mbuzi amepotea, jamaa ana toothpic na maji makubwa, tumbo limefura, ngozi...
Nimesoma Oldonyo Sambu Seminary/ Arusha Seminary/Immaculate Heart of Mary Seminary , naifahamu vizuri tu hiyo Sekondary ya Oldonyo Sambu almaarufu Mavumbini. kwa kipindi nilipokuwa shule 'Donyo" Hapakuwa na hospitali, umeme. maji yalikuwa yana upungufu wa madini yakawa yanapindisha mifupa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.