Recent content by mwana itifaki

  1. M

    Wanaoponda watumishi wanaochukua mikopo wengi wao unakuta hawana hata hiyo kazi mtu asiyeogopa mikopo ni risk taker kutoboa ni suala la muda tu

    Andika kwa kuacha nafasi, pia uwe unaanza kwa herufi kubwa baada ya nukta. Kumbuka kuongeza idadi ya paragraph kwenye mada yako ili isomeke vizuri.
  2. M

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Mtu wa aina hii hawezi kua na akili nyingi kama unazozizungumza
  3. M

    Series (Special thread)

    Mimi pia nimeishia hapo
  4. M

    Je dini ya shetani(satanism) inakaribia kutawala dunia?

    Acheni ujinga. Imani za kishamba zinawafanya mnakua kama mazombie
  5. M

    Je dini ya shetani(satanism) inakaribia kutawala dunia?

    Tafsiri yoyote ile unayoijua, mnaamini mambo ya kijinga sana mara uchawi mara satanic yaani ujinga tu. Na makundi ya wafia dini au waamini mambo kama haya wanaongoza kwa umaskini
  6. M

    Je dini ya shetani(satanism) inakaribia kutawala dunia?

    Watu wenye mawazo na akili kama hizi wengi ni masikini sana
  7. M

    Series (Special thread)

    Naangalia FATAL SEDUCTION muda wote mkono upo ikulu😇. Yaani ilibaki kidogo niwe member wa chaputa
  8. M

    Hii kasi ya ndoa za sogea tuishi imekuwa kubwa sana, kwanini watu hawafungi ndoa rasmi?

    Unakutana na binti mdogo ila ana shimo la tewa, kitandani fundi na ana pumzi kuliko Fei Toto. Utapata wapi ujasiri wa kumtambulisha au kufunga nae ndoa wakati unajua lolote linaweza kutokea wakati wowote
  9. M

    Kama Israel and USA wanaweza kuwa so precise kuwaua viongozi wa Iran, what about military infrastructures that bare , huge and visible from the Air

    Mkuu, pesa sio sababu pekee inayopelekea watu kujiunga na jeshi au kupigana Vita. Naamini mataifa ya America na Ulaya wana hela za kutosha kuwalipa Askari wote wa Iran wapindue Serikali yao lakini mimi na wewe tunajua hilo ni gumu kutokea
  10. M

    Series (Special thread)

    https://thepiratebay0.org/search/Memory%20of%20a%20killer%20/1/99/0 Utatumia torrent mkuu
  11. M

    Series (Special thread)

    Low budget movie
  12. M

    Series (Special thread)

    Memory of a killer ni mkasi 🔥
  13. M

    Kati ya iPhone 17 pro max na Samsung Galaxy S26 Utra ninunue simu ipi ?

    Mnawezaje kutoa hela zote hizo kununua simu? Kuna refurbished kibao 400K tu unapata simu kali. Anyway sikupangii
Back
Top Bottom