Mkuu hata mimi imenikuta now nina watoto wawili ingawa wapili bado anamiez 4, lakin mwenzangu hataki tuongeze mwingine mbeleni, nasubiri akinipa go ahead nikaongeze nje, mi bado nahitaji 1 au 2 zaid
Mkuu mi mwaka jana niliumwa sikio ghafla nikiwa job, nikasema niende hapo AAR hospt mbagara maana ilikuwa karibu na kazin kwangu, kuonana specialist wa sikio, akanichek akalipuliza na kimashine flan hivi, halaf akasema rudi baada ta wiki, aisee nilipotoka hapo ka nusu saa mbele niliona dunia...
Kwanza yaonekana kama unamajivuno fulani hivi, eti kwanin waniombe mbona mi siwaombi, hizo password si uliwapa mwenyewe ama, ktk mapenzi ya kweli hilo ni jambo la kawaida kusaidiana, ila kama ni fake love basi hapo kuna shida
Kwa mtazamo wangu naona kama ye ndo kakosea, kwa mjibu wa maelezo yako kumbe alikuwa na ajira ya kuzanguka mikoan akaamua kuacha ili aje akae na wadogo zake kijijin, kwanin asingewachukua aishi nao mjin ili yeye aendelee kupambana, ila unasema aliacha kazi akarudi kijijin kuwaangalia wadogo zake
Ndo aitwe mpumbavu mbele ya hadhira, kumbuka ana mke na watoto ka siyo wajukuu, then wasikie baba yao ni mpumbavu aliyetolewa jalalani unadhani wanajisikiaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.