Tanga mjini yote duka la spea za simu... yani LCD ni moja pekee.
Hakuna sehemu wanafungulisha Balo za mikoba za mtumba...
Kiatu cha kike dar cha 5000 kwa bei ya rejareja huku machinga wanauziwa kwa bei hiyohiyo jumla ili wao wakauze 7000
Huu ni mfano tu wa uhusiano wa biashara baina ya Dar na...
1.Nursery local
2.Library ya movie ya kisasa
3.Duka la urembo
4.Saloon ya kike
5.Genge la matunda la kisasa
6.Biashara ya chips
7.Ufundi simu na phone accessories 👉 Hii ukiwekeza vizuri na ukikaa mwenyew 50k uhakika
8.Duka la mikoba ya kike
9.Biashara ya nguo za kike na watoto
10.Kawafungulie...
Dini ukiiwekea vikwazo ndio unaipa uhai... wafuasi wake watazidi kuiona ni Imani ya kweli!!
Kwahyo hao mashetwan wanaijua hiyo mbinu,
Dini ukitaka kuiua unatakiwa kuiondoa kwenye vifua vya watu ibaki pambo✍️
Ndio maana unaona nchi kubwa zinahamasisha ushoga, haki sawa, democracy, feminism n.k...
Au basi tu.
Asubuh kidogo nianzishe Uzi wa kumlilia mlimbwende wa miaka 19🥺
Ila wacha nikaushe msijesema mm ndo huyo braza 🥱
Mdogo ang kulia hakuna umri, siku utakutana na vibabu vinalilia kipochi ndo utajua hujui
Kuoa mke mmoja ni kutaka ufe kabla ya umri wako..... Oa wawili iwe kama defensive mechanism!!
Hapo ndipo amani kwa mwanaume itapatikana, kuoa mmoja n mtego mkali sana🤔🤔🤔
Hii ni kweli kabisa!!
Kuna ndugu yangu alikimbia project Arusha kisa hii michezo.
Ni fundi, kafanya kazi dakika za jioooni katafutiwa weakness kidogo boss akashika hapohapo!!
Ilibidi tuforce nauli ili arudi Dar kwa mbinde sana.
Sema yeye sio fundi systematic ni hawa wa elimu ya hapa na...
Kwani tarehe za Mshahara tayari🥺
Maana hizi hoja sio ngeni, hutumika sana kukwepa majukum ya muhimu pindi kibunda kinapojaa mkononi.
Bro kanunue tofali kama ulivyopanga kwenye diary yako bhana😁😁
Sheria n ileile, tusi la boss sio tusi ni maelekezo yenye busara iliyofichika😁
Huwa tusi pale tu, utapokuwa na biashara yako pembeni ambayo inaweza kukulisha bila wasiwasi 😁
Kosea code uione Dar kama gereza
Pesa huwa na tabia chafu sana... kabla hujatoa, unakuwa busy na business plan
Mara budget za hapa na pale😁
Ila ikishakaa mkononi sasa.... harufu za mishikaki hutojua zimetoka na wapi😡
Ngoja kesho Kuna kama laki na nusu hivi itasoma m-pesa,
Siku nzima ntafanya kazi ya kuchunguza tabia zangu kama nimekuwa na jeuri ya pesa au nipo vilevile 😁
Ila naona kila dalili za kutosalimia watu🏃🏃
Katika kitu huwa najilaumu mpk kesho.... nimewah muandikia mtoto wa mtu barua mbili, majibu kimya🥺
Nikaenda dukani kwao kujua tunafanyaje kuhusu hisia zangu,,, zile barua zikachanwa mbele yangu halafu nikarushiwa😂😂
Kama movie ya kihindi, ila zamani hapana kwakweli🏃
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.