Recent content by Mwami Atale

  1. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu nilimtukana matusi ya nguoni tukiwa bar na nikiwa nimelewa, kanishtaki. Je, nina kesi ya kujibu?

    Jitahidi kufatilia kesi ya TAL mpk unamaliza ushakuwa mwanasheria Halafu ukifika kwa mahojiano ya Mnyika anavyompopoa Katuga (hakikisha unakuwa na daftari) .... itakusaidia kumfanya mzee aache ndala mahakamani😁 Ukimchapa swali mzee... Mzee wa kanisa Bar ulifata nn na unakisukari na presha...
  2. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Hapa inshu sio majina... Ila n dharau!! Mwanaume anaweza pigana kisa 200, hata kama bank Kuna milion 50. Kuna muda mtu anaamua kupigana sio kwasabb ya kupata au kukosa ila kwasabb ya heshima yake imetikiswa!! Hii huja automatic bila kufikiria hatari iliyoko mbele
  3. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    😂😂😂....
  4. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kuwa na familia yenye amani, utulivu,upendo na furaha aise ni bonge moja la Burudani 😁

    Shida ya ndoa za siku hizi n kuwa ..... siku wife akikufrahisha unatoka nje kusumbua watu na motivation za ndoa n tamu Kesho yake ukipigwa tukio unajiunga na jamaa zetu kataa Ndoa Kesho kutwa mkipatana unaanza tena kutoa somo la uvumilivu ndani ya ndoa. Kiufupi hii post yako Kuna possibility...
  5. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Dah ndo maana mvua hazinyeshi kwa wakati.... Inatakiwa ukienda kukopa mfukoni uwe umebakiza tamaa pekeake tena nayo iwe ukingoni kukatika😂😂
  6. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Yani anaenda kukopa halafu anayo laki 3 ya kutuma... kweli matatizo siku hizi hayapo serious 😂 Zamani matatizo yetu ilikuwa yakikushika unaenda kukopa ukiwa huna hata 100 mkuu, kesi kama hizi hazikuwepo kabisa
  7. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Ni kwasababu umeuliza swali kwenye page yetu, huku tupo sisi😁 Au unataka Mungu awashe data aingie jf kukujibu hapa kwenye comment
  8. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Ukitaka kujua Mungu yupo jibu sahihi wanalo washirikina.... Nguvu ya Mungu ipo dhahiri kwenye dimension zingine nje ya hii yetu (Na Kuna sababu ya kwann ipo hivi
  9. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Ndio
  10. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Usinishauri utanichanganya kaka😂 Nipoje kwenye O wakati nimemaliza kila kitu mpk masoko, suppliers ninao Au we unadhan biashara ni mtaji pekee? Ukiwa na masoko umemaliza, ukitaka kujua watu mitaji wanayo ila mawazo ndo cheche Nenda stend sahv,,,, halafu hesabu office za M-pesa zipo ngapi!! Au...
  11. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Wa kwanza ataingia kipindi ambacho ndio kampuni unatengeneza foundation... huyo atahitajika kuwa na 3M pekee!! Baada ya hapo mtu wa tatu na WA mwisho ataingia baada ya miaka 2 au 1.5,,,, itategemea na target yetu ndani ya huo muda Ila target ya kumuingiza mtu wa 3 ni hii ... akute kampuni...
  12. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Kuagiza balo za mtumba kutoka china, UK... n.k (huwezi anza na capital ya laki 5 bhana😁 Hiyo project nimeiweka juu juu tu hapo ...... ila ukiingia mtandaoni tizama hawa kampuni ya MSHIKO ipo Sinza, ndio role model wa hii project Kwahyo simaanishi biashara ya nguo kwa taswira ndogo...
  13. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Change of plan... huko dm usije!! Wapi nimekwambia ulipie project ww😁 Nimekwambia project ukiipenda, means unapewa idea bure ukiona inakufaa ukafanye huko, ila nikatoa proposal kama ukitaka kufanya naweza toa chance tufanye wote kama partners Maana project ni kubwa,,, inahitaji watu kwanzia...
  14. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Utani kwenye mambo ya userious ndo huwa sitaki madam😁 We njoo upewe project ya kibabe,
  15. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Haya njoo inbox... nakuelekeza ukiipenda tufanye wote Maana mm ndo naijua vizuri kabisa, kwahyo n rahisi kuzalisha profit nzuri ndani ya muda mfupi wa hardworking
Back
Top Bottom