Recent content by Mwami Atale

  1. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Dah ndo maana mvua hazinyeshi kwa wakati.... Inatakiwa ukienda kukopa mfukoni uwe umebakiza tamaa pekeake tena nayo iwe ukingoni kukatika😂😂
  2. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Yani anaenda kukopa halafu anayo laki 3 ya kutuma... kweli matatizo siku hizi hayapo serious 😂 Zamani matatizo yetu ilikuwa yakikushika unaenda kukopa ukiwa huna hata 100 mkuu, kesi kama hizi hazikuwepo kabisa
  3. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Ni kwasababu umeuliza swali kwenye page yetu, huku tupo sisi😁 Au unataka Mungu awashe data aingie jf kukujibu hapa kwenye comment
  4. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Ukitaka kujua Mungu yupo jibu sahihi wanalo washirikina.... Nguvu ya Mungu ipo dhahiri kwenye dimension zingine nje ya hii yetu (Na Kuna sababu ya kwann ipo hivi
  5. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Ndio
  6. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Usinishauri utanichanganya kaka😂 Nipoje kwenye O wakati nimemaliza kila kitu mpk masoko, suppliers ninao Au we unadhan biashara ni mtaji pekee? Ukiwa na masoko umemaliza, ukitaka kujua watu mitaji wanayo ila mawazo ndo cheche Nenda stend sahv,,,, halafu hesabu office za M-pesa zipo ngapi!! Au...
  7. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Wa kwanza ataingia kipindi ambacho ndio kampuni unatengeneza foundation... huyo atahitajika kuwa na 3M pekee!! Baada ya hapo mtu wa tatu na WA mwisho ataingia baada ya miaka 2 au 1.5,,,, itategemea na target yetu ndani ya huo muda Ila target ya kumuingiza mtu wa 3 ni hii ... akute kampuni...
  8. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Kuagiza balo za mtumba kutoka china, UK... n.k (huwezi anza na capital ya laki 5 bhana😁 Hiyo project nimeiweka juu juu tu hapo ...... ila ukiingia mtandaoni tizama hawa kampuni ya MSHIKO ipo Sinza, ndio role model wa hii project Kwahyo simaanishi biashara ya nguo kwa taswira ndogo...
  9. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Change of plan... huko dm usije!! Wapi nimekwambia ulipie project ww😁 Nimekwambia project ukiipenda, means unapewa idea bure ukiona inakufaa ukafanye huko, ila nikatoa proposal kama ukitaka kufanya naweza toa chance tufanye wote kama partners Maana project ni kubwa,,, inahitaji watu kwanzia...
  10. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Utani kwenye mambo ya userious ndo huwa sitaki madam😁 We njoo upewe project ya kibabe,
  11. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Haya njoo inbox... nakuelekeza ukiipenda tufanye wote Maana mm ndo naijua vizuri kabisa, kwahyo n rahisi kuzalisha profit nzuri ndani ya muda mfupi wa hardworking
  12. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    A... Hii ndo ninayo mkononi sahv, nimemaliza kuifanyia research miezi 3, nikakwama kwenye capital. B... Hii nilifanya miaka 3 iliyopita nikaja pata deal kubwa kdg nikaachana nayo, (biashara haikunishinda niliacha) Halafu kipindi mambo yapo vzr kiasi, nikifanikiwa kufungua office ya ufundi...
  13. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kwa ujuzi ulionao, utamsaidiaje muajiri wako kupata faida?

    Let's fight to survive!! Boss mwenye plan ya kununua bodaboda atoe mkataba.... (Apite hapa!! (Kuna plan ya 3 M investment, ambayo itakupa offer ya mkataba wa 6.5 M return!!).... Ukiwekeza 5 million tutaweka mkataba wa 10 M return.... (Mambo yatakuwa kisheria kama inavyofanyika kwenye vyombo...
  14. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Sawa mbinu itabadilika, sahv ni kukuroga kwanza... utatutongoza mwenyew
  15. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwa sasa?

    Kuna siku nimekutana na Uzi mmoja humu wa 2007, katika pitapita nakutana na ID ambayo ipo active mpk Leo😳 Dah kipindi hicho nipo la pili, kidum na mfagio mkononi nawahi namba.... huku ma-uncle wanajadili wapi watapata viwanja vya bei nafuu😁
Back
Top Bottom