Usinishauri utanichanganya kaka😂
Nipoje kwenye O wakati nimemaliza kila kitu mpk masoko, suppliers ninao
Au we unadhan biashara ni mtaji pekee?
Ukiwa na masoko umemaliza, ukitaka kujua watu mitaji wanayo ila mawazo ndo cheche
Nenda stend sahv,,,, halafu hesabu office za M-pesa zipo ngapi!!
Au...