Recent content by Mwami Atale

  1. Mwami Atale

    Sasa hivi kila sekta ngumu kutoboa ilikuwa rahisi 2012 kuja 2022

    Tanga mjini yote duka la spea za simu... yani LCD ni moja pekee. Hakuna sehemu wanafungulisha Balo za mikoba za mtumba... Kiatu cha kike dar cha 5000 kwa bei ya rejareja huku machinga wanauziwa kwa bei hiyohiyo jumla ili wao wakauze 7000 Huu ni mfano tu wa uhusiano wa biashara baina ya Dar na...
  2. Mwami Atale

    Biashara gani mtu anaweza kufanya kwa mtaji wa 10m?

    1.Nursery local 2.Library ya movie ya kisasa 3.Duka la urembo 4.Saloon ya kike 5.Genge la matunda la kisasa 6.Biashara ya chips 7.Ufundi simu na phone accessories 👉 Hii ukiwekeza vizuri na ukikaa mwenyew 50k uhakika 8.Duka la mikoba ya kike 9.Biashara ya nguo za kike na watoto 10.Kawafungulie...
  3. Mwami Atale

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Dini ukiiwekea vikwazo ndio unaipa uhai... wafuasi wake watazidi kuiona ni Imani ya kweli!! Kwahyo hao mashetwan wanaijua hiyo mbinu, Dini ukitaka kuiua unatakiwa kuiondoa kwenye vifua vya watu ibaki pambo✍️ Ndio maana unaona nchi kubwa zinahamasisha ushoga, haki sawa, democracy, feminism n.k...
  4. Mwami Atale

    Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

    Dah nimekuelewa sana shekh. Allah atakufanyia wepesi, inshallah!! Maana unaimani thabit
  5. Mwami Atale

    Hivi inakuaje mpaka dume Zima linalilia mwanamke aisee hii kitu hainiingii akilini

    😂😂😂😂... Nilidhan nishasikia yote, Kumbe bado safar ni ndefu saaana
  6. Mwami Atale

    Hivi inakuaje mpaka dume Zima linalilia mwanamke aisee hii kitu hainiingii akilini

    Au basi tu. Asubuh kidogo nianzishe Uzi wa kumlilia mlimbwende wa miaka 19🥺 Ila wacha nikaushe msijesema mm ndo huyo braza 🥱 Mdogo ang kulia hakuna umri, siku utakutana na vibabu vinalilia kipochi ndo utajua hujui
  7. Mwami Atale

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Kuoa mke mmoja ni kutaka ufe kabla ya umri wako..... Oa wawili iwe kama defensive mechanism!! Hapo ndipo amani kwa mwanaume itapatikana, kuoa mmoja n mtego mkali sana🤔🤔🤔
  8. Mwami Atale

    Utapeli mpya kwa mafundi, kuweni makini

    Hii ni kweli kabisa!! Kuna ndugu yangu alikimbia project Arusha kisa hii michezo. Ni fundi, kafanya kazi dakika za jioooni katafutiwa weakness kidogo boss akashika hapohapo!! Ilibidi tuforce nauli ili arudi Dar kwa mbinde sana. Sema yeye sio fundi systematic ni hawa wa elimu ya hapa na...
  9. Mwami Atale

    Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    Zamani nilikuwaga nikisikia mtu anayo account ya Bank, huyo namuona kishatoboa maisha. Kumbe sikujua huwa zinabaki mpk na 3000😁 Kuwa uyaone mwanangu
  10. Mwami Atale

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Kwani tarehe za Mshahara tayari🥺 Maana hizi hoja sio ngeni, hutumika sana kukwepa majukum ya muhimu pindi kibunda kinapojaa mkononi. Bro kanunue tofali kama ulivyopanga kwenye diary yako bhana😁😁
  11. Mwami Atale

    Eti, "natafuta mke/mume mwenye hofu ya mungu", nyambafu!

    Kumbe ni huyu mwanetu....😂😂 Mpk nimecheka!! Dah haya bhana
  12. Mwami Atale

    Wengi wanasemaga "hata nikipata pesa nitabaki kuwa humble", no bro, ukishavaa vazi la pesa unakuwa mtu mwingine kabisa

    Sheria n ileile, tusi la boss sio tusi ni maelekezo yenye busara iliyofichika😁 Huwa tusi pale tu, utapokuwa na biashara yako pembeni ambayo inaweza kukulisha bila wasiwasi 😁 Kosea code uione Dar kama gereza
  13. Mwami Atale

    Wengi wanasemaga "hata nikipata pesa nitabaki kuwa humble", no bro, ukishavaa vazi la pesa unakuwa mtu mwingine kabisa

    Pesa huwa na tabia chafu sana... kabla hujatoa, unakuwa busy na business plan Mara budget za hapa na pale😁 Ila ikishakaa mkononi sasa.... harufu za mishikaki hutojua zimetoka na wapi😡
  14. Mwami Atale

    Wengi wanasemaga "hata nikipata pesa nitabaki kuwa humble", no bro, ukishavaa vazi la pesa unakuwa mtu mwingine kabisa

    Ngoja kesho Kuna kama laki na nusu hivi itasoma m-pesa, Siku nzima ntafanya kazi ya kuchunguza tabia zangu kama nimekuwa na jeuri ya pesa au nipo vilevile 😁 Ila naona kila dalili za kutosalimia watu🏃🏃
  15. Mwami Atale

    Siku hizi hatutongozi tena wanawake… tunawapa tu “idea” tu!

    Katika kitu huwa najilaumu mpk kesho.... nimewah muandikia mtoto wa mtu barua mbili, majibu kimya🥺 Nikaenda dukani kwao kujua tunafanyaje kuhusu hisia zangu,,, zile barua zikachanwa mbele yangu halafu nikarushiwa😂😂 Kama movie ya kihindi, ila zamani hapana kwakweli🏃
Back
Top Bottom