Kuna siku nimekutana na Uzi mmoja humu wa 2007, katika pitapita nakutana na ID ambayo ipo active mpk Leo😳
Dah kipindi hicho nipo la pili, kidum na mfagio mkononi nawahi namba.... huku ma-uncle wanajadili wapi watapata viwanja vya bei nafuu😁
7 yrs experience. (Japo nilishatoka huko!!)
Ila formula nilokuwa naitumia n kuishi vizuri na majirani... Yani nilikuwa naforce juu chini niwapate majirani hata wawili na ndugu hata mmoja ambaye nikimuungia nyaya hata kama n usiku wa manane anakuja!!
Imewah tokea mwaka flani nikadakwa na...
Aliniuliza huku kaniweka loudspeaker,
"kwani nilikulazimisha unipende?
Vitu unavyonipa sikukuomba🥹"
Bora angeishia hapo, nikasikia na vicheko kutoka upande wa pili
(Hapo nilikuwa najitia najua saana kujiongeza kumjali mchumba kwa vicent ili kumpungizia vishawishi!!)
Ukitoka msiba wa mzee wangu...
Watu wengi (mm nikiwemo) huwa tunashindwa kutofautisha hivi vitu viwili maana vinakaribia kufanana sana!!
Heshima ikiwa 100% inaanza kuwa na taswira ya unyenyekevu... kwa lugha nyingine tunaweza sema unyenyekevu ni heshima iliyokamilika!!
Ila wanaume huwa tunajisahau na kutaka kuogopwa...
Shida hamtaki kukaa chini na wazee wa kwenu..... unadhani bibi zetu kutulia kwenye ndoa miaka 50 na wanapiga kazi wazee wanacheza bao ilikuwa n bahati mbaya???
Zungumza vzr na wazee wakupe code... huyo unaoa vizuri kabisa na anatulia ndani
Bro. Ukitaka kuoa chukua mwanamke matured angarau inapunguza stress zisizo na maana!!
Mwanamke aliyekomaa hutoa service zaidi ya tendo
Ila usiombe uoe hivi vitoto mzee... hakuna rangi utaacha ona.
Japo kila kitu kina faida zake.....
Ila sahv nimejifunza hatuoi ili kupata sifa kwenye jamii...
Ndoa n mtego. ✍️
(Najionea jinsi nilivyonasa, kama ingekuwepo option nyingine kwenye vitabu vya dini ya kupata tendo kihalali
Au mfano kungekuwa na aya inasema, kununua tendo ukizidiwa ni halali
Wallah sidhan kama Kuna mtu angeoa,
ndoa faida yake n ndogo sana kwa mwanaume
Bora watu walalamike unajitenga, unaringa n.k kuliko kulalamikiwa unajipendekeza, ni tegemezi n.k!!
Lawama kundi laa kwanza huja na heshima ndani yake na always huwa n ya watu kukuhitaji.... ila hii ya pili huwa n dharau na fedheha!!
kwahyo nakuunga mkono kabisa: kuhitaji attention za kijinga...
Huwa naona wife akipatwa na hiyo hali anachemsha mafuta ya mnyonyo anakunywa....
Mwanzo nilikuwa na wasiwasi kidogo ila guess what, baada ya kunywa alipata haja na hali ikaisha!!
Kwahyo kama na ww shida n hiyo pekee, jaribu na hii njia.
Pia chunguza sababu inayopelekea hii hali n nn
Note...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.