Recent content by Mwami Atale

  1. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwa sasa?

    Kuna siku nimekutana na Uzi mmoja humu wa 2007, katika pitapita nakutana na ID ambayo ipo active mpk Leo😳 Dah kipindi hicho nipo la pili, kidum na mfagio mkononi nawahi namba.... huku ma-uncle wanajadili wapi watapata viwanja vya bei nafuu😁
  2. Mwami Atale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa mlio single huwa mna survive aje kipindi mnaumwa?

    7 yrs experience. (Japo nilishatoka huko!!) Ila formula nilokuwa naitumia n kuishi vizuri na majirani... Yani nilikuwa naforce juu chini niwapate majirani hata wawili na ndugu hata mmoja ambaye nikimuungia nyaya hata kama n usiku wa manane anakuja!! Imewah tokea mwaka flani nikadakwa na...
  3. Mwami Atale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    😂😂😂😂😂.... nacopy mkeka ila mm naweka afe zaidi ya mmoja
  4. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Hamna kipindi ambacho wanajeshi halisi wanakifurahia kama wakati wa vita maana ndo wakati wa kuonyesha ujuzi wao kiuhalisia

    Huwa wanafurahi week moja ya mwanzo 😁😁 Baada ya drone kushambulia headquarters wanaanza kutaka mazungumzo mezani Vita ya sikuhz mnauana huku hamuonani
  5. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Alikufanyaje, Ukamfanyaje? Bad experience za kuumiza

    Sikubaki kizembe nikaenda Tanga mkuu... Kama ulikuwepo😁
  6. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Alikufanyaje, Ukamfanyaje? Bad experience za kuumiza

    Amna unajitahd tu kumeza dawa kwa wakati, mazoezi na mboga za majani kwa wingi
  7. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Alikufanyaje, Ukamfanyaje? Bad experience za kuumiza

    Aliniuliza huku kaniweka loudspeaker, "kwani nilikulazimisha unipende? Vitu unavyonipa sikukuomba🥹" Bora angeishia hapo, nikasikia na vicheko kutoka upande wa pili (Hapo nilikuwa najitia najua saana kujiongeza kumjali mchumba kwa vicent ili kumpungizia vishawishi!!) Ukitoka msiba wa mzee wangu...
  8. Mwami Atale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Watu wengi (mm nikiwemo) huwa tunashindwa kutofautisha hivi vitu viwili maana vinakaribia kufanana sana!! Heshima ikiwa 100% inaanza kuwa na taswira ya unyenyekevu... kwa lugha nyingine tunaweza sema unyenyekevu ni heshima iliyokamilika!! Ila wanaume huwa tunajisahau na kutaka kuogopwa...
  9. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Kama uzuri ingekua unagaiwa, ningempunguzua dada angu

    Dah, hivi kabisa unaleta Uzi wa hivi Jf... au ww ni mgeni? Haya tulia ujifunze matusi mapya😁
  10. Mwami Atale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Shida hamtaki kukaa chini na wazee wa kwenu..... unadhani bibi zetu kutulia kwenye ndoa miaka 50 na wanapiga kazi wazee wanacheza bao ilikuwa n bahati mbaya??? Zungumza vzr na wazee wakupe code... huyo unaoa vizuri kabisa na anatulia ndani
  11. Mwami Atale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tumeumbiwa starehe ya ngono kama mtego wa kuangukia kwenye majukumu mazito hadi tunazeeka?

    Bro. Ukitaka kuoa chukua mwanamke matured angarau inapunguza stress zisizo na maana!! Mwanamke aliyekomaa hutoa service zaidi ya tendo Ila usiombe uoe hivi vitoto mzee... hakuna rangi utaacha ona. Japo kila kitu kina faida zake..... Ila sahv nimejifunza hatuoi ili kupata sifa kwenye jamii...
  12. Mwami Atale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tumeumbiwa starehe ya ngono kama mtego wa kuangukia kwenye majukumu mazito hadi tunazeeka?

    Ndoa n mtego. ✍️ (Najionea jinsi nilivyonasa, kama ingekuwepo option nyingine kwenye vitabu vya dini ya kupata tendo kihalali Au mfano kungekuwa na aya inasema, kununua tendo ukizidiwa ni halali Wallah sidhan kama Kuna mtu angeoa, ndoa faida yake n ndogo sana kwa mwanaume
  13. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Mazoea yanaleta dharau

    Bora watu walalamike unajitenga, unaringa n.k kuliko kulalamikiwa unajipendekeza, ni tegemezi n.k!! Lawama kundi laa kwanza huja na heshima ndani yake na always huwa n ya watu kukuhitaji.... ila hii ya pili huwa n dharau na fedheha!! kwahyo nakuunga mkono kabisa: kuhitaji attention za kijinga...
  14. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Meya Kinondoni: Wamiliki wa Swimming kwenye hoteli na nyumba binafsi watalipa laki 1 ya Usajili na 50, 000 kila baada ya miezi 6

    Mwaaalimu anacheeza makomboleeelo oooh oh 👊👿 Round hii kitaeleweka....
  15. Mwami Atale

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Huwa naona wife akipatwa na hiyo hali anachemsha mafuta ya mnyonyo anakunywa.... Mwanzo nilikuwa na wasiwasi kidogo ila guess what, baada ya kunywa alipata haja na hali ikaisha!! Kwahyo kama na ww shida n hiyo pekee, jaribu na hii njia. Pia chunguza sababu inayopelekea hii hali n nn Note...
Back
Top Bottom