Inawezekana Mara nyingine ni kudhani kujenga ukuta, matofali hupangwa tu bila mpangilio, najaribu kufikiria jinsi ya kudhibiti straight joints kwenye kusimamisha tofali itakavyokuwa. Hii itakuwa bonding mpya, ngoja tusubiri application yake
Kwanza ukakiri wewe ni mwanasimba, mwisho unasema watu wasije shikana mashati! Bila shaka wewe umeshajitoa kuwa si mwanasimba. Tunashindwa kuendelea hasa kwasababu ya mawazo kama haya, michezo ni biashara, hivyo kama kuna vilabu vingine vyenye nia ya kukaribisha wawekezaji basi muda ndo huu...
Aache ubabaishaji. Muhimu ni wao kutafuta tiba ya tatizo hilo, wahandisi wa mambo ya ujenzi wanajua kuwa settlement hutokea, lkn iwe ni equal settlement, kama itakuwa unequal basi moja ya madhara yake ni hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.