Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,132
- 34,103
Hizo point zinawapeleka wp?Wange weka hata meli poa tu. 3 points
Trh 10 mtakiona.
Hizo point zinawapeleka wp?Wange weka hata meli poa tu. 3 points
Kupigwa counter attack ni upuuzi sana!Mlikuwa mmeweka akili zenu wapi! Hahahahahaaa!Yule babu Wenger atakuwa amekonda as twice as much kwa huzuni.Arsenal wana mpira mkubwa sana na wa hadhi kubwa sana. Ni mpira unaovutia na magoli yake ni ya UHAKIKA
Man u wanacheza mpira wa kubahatisha bahatisha tu. Wanakimbia kimbia tu na wanafunga magoli ya kubahatisha yaliyo ya counter attack tu.
NI AIBU KUBWA KWAKWELI
Hahahahaaa!Lakini kaliwa.MJOMBA MKUDE shujaa bwana,,KAKIMBIZWA na SIMBA toka PORINI kaja KULIWA NYUMBANI kwake,, MKUDE kidume bwana
Ndio tulishainjoi na jana tu tumeinjoi 3 kwa 1Hope mpo swalama,
Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.
Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.
Ivi niwaulize mashabiki wa Man U mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Hata mashabiki wa asma fc wamefurah si wamecheza soka zuri ila tumewakojoza 3Mashabiki wa Mama esta utd hapo wa nafurahia tu sababu wameshinda ila wangefungwa ndio ungeona povu lao sasa
Kwao morinyo akipak basi na wa kashinda ni kocha mzuri, akipak basi akafungwa wanasema mbaya na matusi yote atapewa
Acha wivuHizo point zinawapeleka wp?
Trh 10 mtakiona.
Walitupa burudani pamoja na point tatu.Endeleeni kucheza vizuri mtashinda taji la peke enu.
Ya mkosaji haya ndio tushawanyuka yenu mkagawane sijui mkalale nayo
Nashangaa kuna watu wamekupa like kwa hiki ulichoandika, nyie aseno mmesababisha ushindi wa liver wa goli tano hauzungumziwi pumbavu nyieHope mpo swalama,
Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.
Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.
Ivi niwaulize mashabiki wa Man U mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
toka ferguson awepo na mpaka anaondoka ile ndio aina ya mpira aliotuachiaHope mpo swalama,
Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.
Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.
Ivi niwaulize mashabiki wa Man U mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!