tyina
Member
- Jul 11, 2017
- 94
- 28
Tena anaonyesha dhahir haya makontena ni yakwakwakeKwa kauli za Makonda hana sifa tena za kukalia ofisi za serikali... maana anaonyesha wazi kukwamisha juhudi za Mh.Rais kutufikisha kwenye nchi ya viwanda...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana anatoa navitisho iliyasipigwe mnada
Sent using Jamii Forums mobile app