mm naamini kabisa kwamba huyu mzee alihusika kwa kiasi kikubwa, namunga mkono Vicent nyerere pamoja na aliyepost hii thread kwasababu ufisadi mkubwa umefanyika baada tu ya kifo cha baba wa taifa na ndio hata huyu mzee alianza kampani za kujilimbikizia mali. Ndiyo maana anaogopa cdm ikichukua...
pamoja na mapungufu ya rais wangu, na mm nina mtazamo wa kwako, wana wivu kwakua obama haendi nchini kwao, tutake tusitake ktk uchumi wa leo bila marekani bado hatujafanikiwa bado. kilicho muhimu kwangu ni application ya win win principle. pamoja na sifa alizonazo kagame lakini bado historia...
hii haitushangazi cc wanacdm, lazima mtu atambue kwamba hivi vyombo vingi vinamilikiwa na mafisadi, hata kama walilibia taifa miaka ya nyuma bado watabaki kuwa mafisadi. kwanza mwanzo walikuwa hawamini na kuzarau kwamba cdm inaweza kuchukua nchi, sasa baada ya kuona dalili za cdm kuchukua...
Ndugu zangu wanajamii forum hasa mnaotoka mkoa wa Mbeya na wale wapenda haki, mimi nawashangaa sana wabunge wa CCM wanaotoka mkoa wa Mbeya, kuna matukio mengi ya kutisha sana yanatokea katika nchi yetu, na mengi ya hayo yamewatokea kwa wenyeji wa mkoa wa mbeya na kibaya zaidi matukio mengine...
ndugu yangu kuanza lazima utambue kwamba chadema haijachafuka kama unavyofikiria, huyu acha apate stahiki yake ya usaliti wake na atambue kwamba bwana yake mwiguru taratibu anaanza kutoswa na chama chake, chadema hakiwezi kumuwekea dhamana huyu mshenzi.
KAMA CHADEMA INAWEZA KUPENYEZA WATU SERIKALINI NA SERIKALI ILYOPO MADARAKANI ISIJUE, KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ATATAMBUA KWAMBA SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI(ccm) NI DHAIFU KUPINDUKIA HIVYO INATAKIWA KUONDOLEWA MADARAKANI MARA MOJA.
hela alizopewa mtikila na rostam aziz hazikuwa za rostam, bali rostam aliiba hela za umma hivyo mtikila hastahili kuzilipa. Rostam ni jizi lililokubuhu.
ni walewale waliosema kwamba elimu magharibi ni ukafiri, leo hii wanakumbuka shuka wakati kumekucha, mtalalamika sana. nyakati za jioni wapeleke watoto kwenye elimu dunia badala ya madrasa, mtoto dini tu sio lazima asome kiarabu ambacho hakina umuhimu sana kwa maish YA SASA. AMKENI NDUGU ZANGUNI.
mke wa mtu haibiwi ila anakimbia akiona mume wake hajui shughuli, unaoa huku ukijua ngoma haifanyi kazi unategemea nn, kama na ww uko hivyo mke wako watamchukua wanaojua kumtumia. Dr. slaa ni kidume na aliyepokonywa mke ni walewale walibelali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.