Sidhani kama u-team una faida yeyote zaidi ya kuwafanya watu wawe vipofu na viziwi wa good music, Kuna wasanii wengi wanaohitaji support na wanastahili heshima kubwa kwenye game ila shida macho na masikio ya wengi yapo kwenye maisha ya hizi team zisizo na tija, kama mondi akitoa ngoma kali tumpe...
Well said mkuu, ila ni ngumu sana kwa watu kufahamu nini hasa kinaendelea katika huu ulimwengu itabidi itumike nguvu ya ziada kuelewesha watu angalau madhara yasije kuwa makubwa sana kwetu huko mbeleni. Kwa wenye ufahamu na udhalimu huu unaoendelea tujitahidi kusambaza elimu kwa wanaotuzunguka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.