Mpaka upate shemeji wa kueleweka miaka hii, andaa albamu ya hizo bizinesi kadi. La sivyo utakuwa na kesi nyingi sana za kusimamia mahakamani kwa gharama zako
Kwa uzembe wa kujitawala tulionao, kuna dalili makofi yakapanda ngazi toka kwa diwani, mbunge, .... Kuna makundi 'yanapigwa makofi' sana tena kila siku kwenye jamii ya Watanzania, but who cares?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.