Jaman Mpaka Shetan Anaogopa! Huyo Atakuwa Jini Kamwotexa!Tena Had Sms Anafowad C Mchezo?
Ilikuwa ndoto tu, ungeendelea kukaa nae wala asingefanya chochoteHayo mambo ya ndoto nakumbuka nlimuota mkaka mmoja hivi, yani niliota tunakiss , halafu wala sikuwa na mazoea na yule kaka, kesho yake nipo lecture yule kaka akaja kukaa karibu na mimi....duh, nilihama nafasi mbona.
Waambie mungu Adhihakiwi...ebu wamwondoe mungu kwenye huu uzinZ waoo
Ilikuwa ndoto tu, ungeendelea kukaa nae wala asingefanya chochote
Huyo rafiki yako naye kusoma hajui hata picha haoni?
EPORA mwambie rafiki yako au kama ni wewe hashukuru MUNGU amejua kwamba hyo jamaa hamfai na asikubali kuolewa na hyo jamaa kisa eti anaonewa huruma.njia rahc asiwaze kwanin ameachwa bali afurahie namna anavyompenda jamaa hii itasaidia kupunguza maumivu na atakuwa huru
Kumbe Mungu wa.com hana principles. Basi huyo sio Mungu tena ni kitu kingine
Mkuu hata sasa Mungu anaongea kwa njia mbalimbali lakini si uso kwa uso kama alivyofanya kwa Musa ila inahitaji imani na maisha ya kumcha Bwana.
....
hizi story za wapendwa hizi. Kuna mmoja alisema kaoteshwa hatakiwi kukaa room moja na room mate wake na akahama kweli.
Ilikuwa ndoto tu, ungeendelea kukaa nae wala asingefanya chochote