Wanaume wengi huona aibu kumiliki govi lakini utafiti wangu unaonesha mungu alikuwa na kusudi lake kutuumba na govi zifuatazo ni faida zake
1. Kumuheshimu mungu bila kukosoa uumbaji wake
2.kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuwa govi hukuna kila mahali ndani ya kigegedwa aka papuchi
3. Kupunguza...
Jk alinena na waziri wa utumishi naye akanena kuwa wameongeza mishahara kwa 41% hii ina maana kuwa kwa mtu wa degree aliyekuwa anapata basic salary 589000 sasa itakuwa 830490 kidumu chama cha mapinduzi
Hey wanajamii kama mjuavyo kila kona ya nchi wafanyabiashara wanagomea matumizi ya mashine za efd utafiti wangu mdogo unaonyesha hakuna mtu anayewatuma ila mambo yafuatayo
1: matumizi mabaya ya kodi inayokusanywa
2: maisha mazuri ya maafisa wa tra
3: bei kubwa ya mashine hizo
4: ukosefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.