Ufoo Saro Atoka Hospitali, Atoa Shukrani Kwa Mungu na Awashukuru Wote!.

Kuna mila ambayo Ufoo ame i ignore. hata siku moja mmachame haolewi na mtu kutoka srhemu fulani uchagani. baba Ufoo alilikemea hili ndio maana hakuiva na Mushi. na Mushi kaanza kufika nyumbani kwa mama Ufoo baada ya mdingi kubuta. Hii mila ni ya siku nyingi na laana hii hsitaisha keenye vizazi vya hivi karibuni.
Hiyo user name yako kiboko, nimecheka sana.
 
Akimaliza Ibada aende Moshi akakabidhi Hati walieibadilisha Jina yeye na Hayati Mama yake kwa aliekuwa Mama Mkwe Mtarajiwa Mama Mzazi wa Mushi!
 
Anashukuru Wote kwa Upuuzi Mkubwa Alioufanya? Nyie Vipi badala Ya Kumchana Live Mnabaki Kumpa Maneno Ya Moyo ili Iweje? ACHENI UNAFIKI WENU HAYAWANI WAKUBWA! Hivi Unadhani Marehemu hakuwa na Malengo Yake Ya Kimaisha ambayo Yalikatishwa na UMACHAME WA Huyo UFOO Wenu na Mama Yake? Na Dada Zangu Mkiendelea na Tabia Zenu za Kuchuna na Kuwatumia Wanaume Kwa Maslahi Yenu na Kuwasaliti Yatawakuta Sana Haya Ya Akina UFOO Na Kikubwa Tulieni na Ndoa Zenu au na Wapenzi Wenu na Muwe Wavumilivu na Acheni Tamaa za Kijinga na za Kipumbavu na Epukeni Hayo Maisha Ya Maigizo Sisi Wanaume Tuna Hustle kwa Njia Nyingi hapa Mjini hivyo Tukiwapenda Hebu Nanyi basi Rudisheni Upendo, Uaminifu na Heshima Kwetu. Hongera Kwa Kutoka Hospitalini ila Ningefurahi KAMA UNGEANZISHA KITENGO au NGO MAALUM TU KWA KUTOA USHAURI WA BURE KWA WASICHANA, MABINTI, WANAWAKE na AKINA MAMA Wenye Tabia za Kisanii Kama ULIZOKUWA Nazo hadi Ukakoswakoswa Kwenda Kumwona Sir GOD. Ukome na Nyie Wengine MJIFUNZE na REJEENI ULE USEMI USEMAO " UKIMWONA MWENZIO ANANYOLEWA NA WEWE TIA MAJI".

^^
Taratibu Mkuu.
^^
 
Wanabodi
Mwandishi wa Habari wa ITV, Ufoo Saro, ametoka rasmi hospital na leo amefanya Ibada ya Shukrani katika kanisa la KKKT Kibamba ambapo amemshukuru Mungu kwa yote na kutoa shukrani kwa wote waliosimama na yeye wakati wote wa matatizo wakimfariji na kumsupport kwa hali na mali.

Ibada hii ya shukrani imefuatiwa na chakula cha mchana.

Japo nipo hapa na Ufoo yuko accessible, nina maswali yangu fulani ya dukuduku ningetamani nimuulize, ila nahofia kutonyesha vidonda na kumrudisha kwenye machungu anayojaribu kuyasahau.

Wish afike mahali akiri licha ya kumlilia mama yake aliyeondoshwa na Mushi,anapaswa pia kumlilia Mushi despite all the odds kwa sababu ni mzazi mwenzie na baba wa mtoto wake hivyo amekumbwa na double tragedies!.

Naomba tuungane kwa kumpa Ufoo pole kwa yote ila life has to go on!.

Ufoo, welcome back to the game!.

Pasco.

Mungu ampe nguvu najua hali yake aliyonayo anhitaji akaye muda kidogo, hayo yakwetu hapa tutamuuliza zu mbele ya safari.
 
Anashukuru Wote kwa Upuuzi Mkubwa Alioufanya? Nyie Vipi badala Ya Kumchana Live Mnabaki Kumpa Maneno Ya Moyo ili Iweje? ACHENI UNAFIKI WENU HAYAWANI WAKUBWA! Hivi Unadhani Marehemu hakuwa na Malengo Yake Ya Kimaisha ambayo Yalikatishwa na UMACHAME WA Huyo UFOO Wenu na Mama Yake? Na Dada Zangu Mkiendelea na Tabia Zenu za Kuchuna na Kuwatumia Wanaume Kwa Maslahi Yenu na Kuwasaliti Yatawakuta Sana Haya Ya Akina UFOO Na Kikubwa Tulieni na Ndoa Zenu au na Wapenzi Wenu na Muwe Wavumilivu na Acheni Tamaa za Kijinga na za Kipumbavu na Epukeni Hayo Maisha Ya Maigizo Sisi Wanaume Tuna Hustle kwa Njia Nyingi hapa Mjini hivyo Tukiwapenda Hebu Nanyi basi Rudisheni Upendo, Uaminifu na Heshima Kwetu. Hongera Kwa Kutoka Hospitalini ila Ningefurahi KAMA UNGEANZISHA KITENGO au NGO MAALUM TU KWA KUTOA USHAURI WA BURE KWA WASICHANA, MABINTI, WANAWAKE na AKINA MAMA Wenye Tabia za Kisanii Kama ULIZOKUWA Nazo hadi Ukakoswakoswa Kwenda Kumwona Sir GOD. Ukome na Nyie Wengine MJIFUNZE na REJEENI ULE USEMI USEMAO " UKIMWONA MWENZIO ANANYOLEWA NA WEWE TIA MAJI".

Sawa tumekusikia japo una hasira,relax
 
Dah...! Pole yake hadi nilianza kusahau sababu ya katiba,msiba wa Dk.wetu,makontena ya meno ya tembo,Zitto vs Lema,Lema vs Sadiffa na mzee wa vidosho a.k.a Berluscony wa bongo Prof.Kapuyanga.
Hahahahahah.................hapo kwenye bold nimepapendaje.
 
Kuna mila ambayo Ufoo ame i ignore. hata siku moja mmachame haolewi na mtu kutoka srhemu fulani uchagani. baba Ufoo alilikemea hili ndio maana hakuiva na Mushi. na Mushi kaanza kufika nyumbani kwa mama Ufoo baada ya mdingi kubuta. Hii mila ni ya siku nyingi na laana hii hsitaisha keenye vizazi vya hivi karibuni.

"Beat around the bush ".... ain't. You??? Hapo ni dhuluma tu ndio imemponza huyo bidada akishirikiana na mama yake, hakuna cha mila wala nini!!!!
 
Ama kweli shetani anajua sana kutuchezea sisi watanzania, wewe ufoo saro unatoa shukurani ya nini huku kukiwa na wingu la maswali juu ya tukio zima, yaani unafikiri tutakubali um treat huyo mushi kama mbwa? yaani hana wazazi hata kama wao pengine hawana umaarufu kama wako maana waandishi wasikuhizi wote ni ma celebrity.

Jeshi la Polisi na Mazoea ya Rushwa hata katika mambo ya mistig
Nalishangaa sana jeshi la polisi au ndio yale yale ya kapuya? Je si kweli kwamba Ufoo alitakiwa anapotoka hospitali awekwe ndani kuisaidia polisi katika upepelezi? Ni matmaini yangu sasa kwa kuwa mzee wa kushindwa kazi Manumba kapumzishwa labda huyu mwingine atakuwa na kiherehere positive cha kukfanyakazi japo bado mzee wa wizi wa panga la dhahabu bado sijui anangoja nini wakati kashindwa kazi. Hivi ni nani anayedanganyawa hapa mtoto, wa watu amezikwa kama mbwa kwa nini? Hii imeongeza idadi ya kesi za ajabu ajabu ambazo jeshi la polisi limeshiriki katika uhalifu ama kwa moja kwa moja kama zile za Ulilmboka, Kibanda na Mwangosi? au kwa kula rushwa ndogondogo na kufanyakazi kisiasa zaidi.

je mmeshapoteza kamera ya CCTV?

tunafahamu kuwa Mushy alikuwekea Camera nyumbani na chumbani kwako, na siku hiyo hiyo aliyotoka safari siku ya ijumaa aliwasha kamera na ku ku confront juu ya aliyoyakuta humo ambayo na wewe unayajua. Hata kwenda kwa mama yako ilikua ni yeye kutaka mmalizane kwa wewe kumkabidhi vyake, wataalamu wameshasema haku na mtu wa kujiua kwa risasi mbili tena moja ikiwa imepigwa toka nyuma, tunataka kujua wakati mnaelekea kwa mama ulipiga simu ngapi na kwa nani? je ni nani huyo mheshimiwa aliyekua safarini nje anayehusishwa na mkanda huo? Huwezi kuficha ukweli wala kuendelea na maisha pasipo kukiri na kutubu kw akusema ukweli,

Kuapa Kuficha siri
je ni kwa nini umekimbilia kuapa kutunza siri, kuna siri gani na unaitunza kwa faida ya nani kama sio hongo na rushwa kwa polisi wetu ili kupoteza ushahidi mkijua wazi kuwa watanzania ni wagonjwa wa kukumbuka, sasa dawa yenu imefika kampuni mpya ya crimina investigation imeshaandikishwa nchini na ina operate toka hapa lakin mashtaka yatafanyiak nje ya nchi kwa kutokuwa na imani na legal systemya nchi hii, Je unahabari Mushi uliyetaka azikwe kama mbwa kazikwa na chumvi? kama huna hiyo habari uliza wahenga ngoja tuone timbwili lake, wewe damu ya mtu haipotei bure, na hao viongozi wa dini waliojaa unafiki ni mambo ya ajabu kabisa ingekua dini yetu wewe hakuna shehe angekubali kusomesha kisomo cha shukurani pasipo dua na kutaka ya ukweli makanisa yamejaa viongozi wanafiki
 
Ufoo dear achana na hao, nipo kwa ajili yako papuchu kama kawa. aliyekufa kajiua yeye tule raha mpenzi. Zile CCTV alizofunga X Mr wako zimemsaidia nini? sasa amekatisha maisha yake...atajiju na Mungu wake... Hili litakuwa funzo kwa wanaume wanaojidai kufuatilia nyendo za wanawake utadhani wao(wanawake) hawana akili eti ehe?
 
Wanabodi
Mwandishi wa Habari wa ITV, Ufoo Saro, ametoka rasmi hospital na leo amefanya Ibada ya Shukrani katika kanisa la KKKT Kibamba ambapo amemshukuru Mungu kwa yote na kutoa shukrani kwa wote waliosimama na yeye wakati wote wa matatizo wakimfariji na kumsupport kwa hali na mali.

Ibada hii ya shukrani imefuatiwa na chakula cha mchana.

Japo nipo hapa na Ufoo yuko accessible, nina maswali yangu fulani ya dukuduku ningetamani nimuulize, ila nahofia kutonyesha vidonda na kumrudisha kwenye machungu anayojaribu kuyasahau.

Wish afike mahali akiri licha ya kumlilia mama yake aliyeondoshwa na Mushi,anapaswa pia kumlilia Mushi despite all the odds kwa sababu ni mzazi mwenzie na baba wa mtoto wake hivyo amekumbwa na double tragedies!.

Naomba tuungane kwa kumpa Ufoo pole kwa yote ila life has to go on!.

Ufoo, welcome back to the game!.

Pasco.
Dah mimi ninamashaka mengi juu yayote hata hiyo misa inawezakuwa isiwe na msingi wowote kwa mungu na isikubalike mbele zake!Maana hapa kuna dot zimekuwa nyingi zimetawanywa sasa mpaka ukianza kuziokota na kuziunganisha utakutana na mambo mengi!Kifupi sijakubaliana naye!
 
ila la msingi kama anajua amekosea kwa namna moja hama nyingne ajipange na kuomba msamaha ila kwa mngu wote tutalejea
 
Back
Top Bottom