Ng'ong'olito
Member
- Jan 6, 2011
- 34
- 18
Subilia tujipange
Subilia tujipange
Mpya au used!! Used unataka.
samahani mkuu.....labda sijaelewa......kwani magari unayouza ni mapya.....?
Ninaposema mpya na maanisha ambayo ni imported kutoka nje na used ambayo yametumika hapa hapa bongo na kuuzwa!!
ooohoo.....nataka ambayo ni used Japan.........ila niinunulie hapa nchini.......
Nauliza noah yenye 4wd
Hizi new model au model ya zaman!!
[/QUOTE]Samahan mkuu,
hv kati ya toyota Allex na toyota Runx ipi iko bomba zaidi
QUOTE=Big Money;7914646]Kuna Mark X ipo imetoka bandarini sio muda hio bei yake 19.5mil, Toyota Passo 8.5mil mpya pamoja na Kluger 23mil. Kama ww ni mteja serious tutafutane kwenye simu tufanye biashara, mengine pia yapo mlongo longo ni mrefu!!
Kwa mawasiliano: 0716 398757
Model ya zamani
Za zaman 12mil maongezi yapo lakin
ukianza kuhonga altezza tuwasiliane.
Ina 4wd hiyo model ya zamani