Recent content by mwakipagala

  1. mwakipagala

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    Daudi bashite kazi unayo Kwa hili huponi
  2. mwakipagala

    Mkalimani aliyetafsiri visivyo matamshi ya mtalii afikishwa mahakamani Tanzania

    Mzahamzaha mwishoe hutumbua usaha,alidhania ni sifa sasa imegeuka upande wake.
  3. mwakipagala

    Castle Lager imepanda bei au mimi ndo nimepandishiwa bei?

    Arusha tuna bia kipenzi cha watu inaitwa kiriku 1500 tu,castle imepanda bei karibia sehemu nyingi sana.
  4. mwakipagala

    Hii ya Juma Pinto Inatisha

    Vita ya madawa bado ngumu sana
  5. mwakipagala

    Kwanini Watuhumiwa hutoka nduki wakiachiwa huru Mahakamani au Central Police?

    Hata Mimi imeshanitokea hiyo niliambiwa ukiachiwa huru tu kimbia na upotee eneo la mahakama unaweza kufunguliwa kesi upya,siku ya hukumu niliacha Gari yangu mbali na mahakama nilivyoachiwa tu nduki mpaka kwenye Gari yangu.
Back
Top Bottom