Recent content by Mwakinyo makini

  1. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Toyota premio ya 2014

    Mzee auris mm ndo gari yangu
  2. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Toyota premio ya 2014

    17m unapata
  3. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Toyota premio ya 2014

    Toyota auris 2017 kuendelea mbele hakika utanishukuru ..
  4. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Toyota premio ya 2014

    Na yanakuaga mazuri sana kwenye bajeti ni kuwa tu makini na betri maana zinakufaga usipozitunza vyema.....lakini zikogo economic...Kuna Moja inatumia Lita 1 km.29 imeizidi hadi ist na Bado inatumia umeme
  5. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Toyota premio ya 2014

    Anamaanisha yenye mfumo zaidi ya mmoja wa power mfano yenye mfumo wa mafuta na umeme ndani ya gari Moja Aya mafuta na gas....na zipo nyingi saiv kwaio achana na izo gari za zamani...m
  6. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Katika ujasiriamali sio hamasa pekee inayojenga biashara, unahitaji uvumilivu na mtazamo sahihi zaidi

    Kiukweli huu ndo Uzi wangu Bora wa mwezi
  7. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya internet kwenye rooter za Airtel

    Mimi Leo imenizingua router yang pia na bado siku tatu ndio kifurushi kiishe
  8. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Hongereni JKCI:Mtoto wa siku mbili afanyiwa upasuaji!!

    Mbona kama ugomvi wa gen z huu
  9. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania HUU UZI NI KWA AJILI YA GEN Z: Kama wapo humu comment hapa, isije ikawa JamiiForums ni ya wazee pekee!

    Kiutani utani kesho kutwa unashangaa una vilembwe
  10. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania HUU UZI NI KWA AJILI YA GEN Z: Kama wapo humu comment hapa, isije ikawa JamiiForums ni ya wazee pekee!

    Hahaha Me nilikua napendaga kusoma zaidi ya kuangalia picha nikaja kukuta huku ndo penyewe
  11. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania HUU UZI NI KWA AJILI YA GEN Z: Kama wapo humu comment hapa, isije ikawa JamiiForums ni ya wazee pekee!

    19....nimeanza kuitumia nikiwa form 2 had sas naelekea chuo.....asee imekua ni addiction kwangu hii jukwaa zaidi ata ya Instagram
  12. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania HUU UZI NI KWA AJILI YA GEN Z: Kama wapo humu comment hapa, isije ikawa JamiiForums ni ya wazee pekee!

    Tupo apa me ndo gen z mdogo zaidi umu jf nadhan
Back
Top Bottom