Na yanakuaga mazuri sana kwenye bajeti ni kuwa tu makini na betri maana zinakufaga usipozitunza vyema.....lakini zikogo economic...Kuna Moja inatumia Lita 1 km.29 imeizidi hadi ist na Bado inatumia umeme
Anamaanisha yenye mfumo zaidi ya mmoja wa power mfano yenye mfumo wa mafuta na umeme ndani ya gari Moja Aya mafuta na gas....na zipo nyingi saiv kwaio achana na izo gari za zamani...m
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.