Mimi juzi nilipita na pisi yangu mitaa flani ivi naenda kupoa nae,.....nkapishana na uyo mama kwenye mlango wa kuzamia chimbo akanambia nyie vijana hamjaniona hamnisalimii eeh mida kama ya satatu usiku nkamuambua sisalimiagi mtu usiku Mimi
Wakuu,
Leo nikiwa katika mtandao wa Instagram nilimsikia Oscar Oscar akisema ya kuwa wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa kwisha
Na pia bingwa wa magari alisema kama huna sababu za msingi kuoa mchagga usioe
Nimepata sintofahamu Kwa sababu Nina mpenzi wangu mchagga...
Habari wanaJf wote,
Story hii inahusu safari yangu kutokea Zanzibar kurudi Moshi, Kilimanjaro.
Ee bana dah nakumbuka ilikuwa ni sa 12 asubuhi makunduchi kwa mwenyeji wangu nikapewa chai ya maziwa na vitumbua kama sita na madonut nikafuta vyote.
Kosa linaanza nilipo sahau kwenda chooni halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.