Recent content by Mwakinyo makini

  1. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania TTCL FIBE wanachukua mda gani mpaka kuja kufunga?

    Afu pia ya Airtel Ina power bank yake umeme ukikata unatumia ata siku nzima
  2. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Mimi pia mkuu😂
  3. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania TTCL FIBE wanachukua mda gani mpaka kuja kufunga?

    Chukua router ya Airtel ni mwisho
  4. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Kwa nini unachukia pale vijana wenye umri mdogo wasipokusalimia?

    Mimi juzi nilipita na pisi yangu mitaa flani ivi naenda kupoa nae,.....nkapishana na uyo mama kwenye mlango wa kuzamia chimbo akanambia nyie vijana hamjaniona hamnisalimii eeh mida kama ya satatu usiku nkamuambua sisalimiagi mtu usiku Mimi
  5. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Kwa nini unachukia pale vijana wenye umri mdogo wasipokusalimia?

    Shenzi kabisaa😂😂
  6. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Mbingu Iko mbali Sana😅
  7. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Je Kuna ukweli kwenye hili ya kubwa " wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa so wazuri Tena"?

    Wakuu, Leo nikiwa katika mtandao wa Instagram nilimsikia Oscar Oscar akisema ya kuwa wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa kwisha Na pia bingwa wa magari alisema kama huna sababu za msingi kuoa mchagga usioe Nimepata sintofahamu Kwa sababu Nina mpenzi wangu mchagga...
  8. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali

    Hapo muone mshana jr😂
  9. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Wasafiri na mabasi/ vyakula vya barabarani kwa afya

    Kwaio bora supu?
  10. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Wasafiri na mabasi/ vyakula vya barabarani kwa afya

    I mean makunduchi sorry
  11. Mwakinyo makini

    JamiiForums Tanzania Wasafiri na mabasi/ vyakula vya barabarani kwa afya

    Habari wanaJf wote, Story hii inahusu safari yangu kutokea Zanzibar kurudi Moshi, Kilimanjaro. Ee bana dah nakumbuka ilikuwa ni sa 12 asubuhi makunduchi kwa mwenyeji wangu nikapewa chai ya maziwa na vitumbua kama sita na madonut nikafuta vyote. Kosa linaanza nilipo sahau kwenda chooni halafu...
Back
Top Bottom