Mwakinyo makini
Member
- Dec 20, 2023
- 56
- 94
17m unapataBei yake imechangamka iyoo
17m unapataBei yake imechangamka iyoo
17m unapata
Yoyote nzuri tu, ila cc zikiongeza ulaji wa mafuta inaongezeka na nguvu ya gari inaongezeka. Ila usijitese sana kufikiria, kama hali ya gari nzuri, chukua.Kumbe duh hiv vitu vina wenyeww ase
Watu wanapenda Mark X au Athlete
😁😁😁😁 mchawi ChatGPTMbona chart gpt ana sema 40M
😁😁😁😁 mchawi ChatGPT
Uliagiza au? Uliagiza JP kwenye 18-22 nadhani kama sijakoseaBei yake halis ngapi boss embu sema 😂
Yoyote nzuri tu, ila cc zikiongeza ulaji wa mafuta inaongezeka na nguvu ya gari inaongezeka. Ila usijitese sana kufikiria, kama hali ya gari nzuri, chukua.
Ulioweka wewe sio Premio, ni Auris ya 2017.Hii gar ndio mna sema 17M
Ulioweka wewe sio Premio, ni Auris ya 2017.
We kijana unataka gari gani?Premio ina anzia ngpi?
Na auris ngapi?
We kijana unataka gari gani?
We kijana unataka gari gani?
Atenza ya Mil 30 labda zile za 2018/19Nauliza kwasababu kuna ndugu yetu alijifanya mjuaji kauziwa mazda atleza kwa 30M kaja kushutka hivi juizi kuwa alipigwa parefu sana kisa ujuaji mm sio expart upande huo kbsa
Atenza ya Mil 30 labda zile za 2018/19
Showroom utapigwa, kwa mtu angalau 15-20Affordable na ukichukua kwa mtu mfano au showroom