Recent content by mwakatramp

  1. M

    Mipango ya kumng'oa Ndugai kwenye Uspika yakamilika. Musa Azan na Elibariki Kingu Waongoza Mashambulizi

    wapeleke maji wanyaturu wenzako jimboni kwako wanakunywa maji na ng'ombe.
  2. M

    Kassim Majaliwa Kiongozi pekee ambaye hakumsimanga Spika Ndugai jana

    waziri mkuu ni mtu msitaarabu sana
  3. M

    Rwanda Vs Uganda nani atashinda Vita?

    Kagame ni mwanafunzi wa Mseven hawezi shindana na mwalimu wake Rwanda wanajisifia sana kiuhalisia mseven ndio anaeongoza vyombo vingi vya usalama vya Rwanda na maafisa wengi wa usalama wakitibuana na kagame wanaenda kuomba hifadhi uganda au africa kusini na bado wanakua na mawasiliano na watu wa...
  4. M

    Kwanini Rwanda ndio kioo cha Watawala Afrika Mashariki na Kati?

    Dawa yake alikua nkurunzinza kaua wa tutsi wengi sana burundi.
  5. M

    Mji upi ni zaidi ya mwenzie kati ya Arusha au Mwanza

    Arusha kumetulia sana huwezi fananisha na mwanza.
  6. M

    Jinsi ya kupata kazi TISS

    Tufanye kazi tutafute hela tutaheshimika kuliko hata Tiss sijui jeshi sijui nn.
Back
Top Bottom