Recent content by mwakabembe

  1. M

    Kwanini neno nguvu za kiume limetawala sana? Nijibu

    so many people responded to my post. I want to add this information= Diminished libido (sex drive), erectile dysfunction (impotence) is a sexual problem in men with the following characteristics: An inability to acquire or maintain an erection satisfactory for sexual intercourse...
  2. M

    Kwanini neno nguvu za kiume limetawala sana? Nijibu

    Inavyo onekana watu wengi hawajui maana ya nguvu za kiume. huenda hata wewe hujui. ndiyo maana wengine wanavuka mstari na kusema hata wanawake wanazo nguvu hizo. wengi huchanganya wanashindwa kutofautisha kati ya HISIA NA UWEZO WA KUFANYA MAMBO na nguvu zenyewe za kiume. kwa sababu hiyo...
  3. M

    Kwanini simu za vijana wengi walio kwenye NDOA zina pasword?

    anaficha kwa sababu hiyo ni simu yake individual phone wewe unaihitaji yanini, hatuhitaji wambea
  4. M

    Kwanini simu za vijana wengi walio kwenye NDOA zina pasword?

    Jitahidi kutosema uongo, si kweli kuwa wanaume wengi simu zao zinapassword, hata kama zina password basi watu wanajaribu kutunza kumbukumbu mhimu, maana siku hizi tuna simu banking mimi simu yangu naweza kufanyia shughuri zote za kibenki hivyo ni muhimu kuprotect benki yangu. Tatizo lako...
  5. M

    Naomba kufahamishwa

    Unayemtafuta siyo mchumba kama ulivyosema, usijaribishe maswala haya
  6. M

    Kushuka kwa elimu TANZANIA je kuna mkono wa siasa?

    Nimekuwa nikishangaa sana , eti waziri anasema matokeo haya nimabaya sana wanataka kuunda tume kuchunguza kwa nini? Ndugu zangu hakuna haja ya kuchunguza mataizo yaliyo wazi. Mfano walimu wanadai madeni serikali inasema inafanya uhakiki basi walimu wameamua kuwa kwenye cold mgomo hadi serikali...
  7. M

    Onyo-3 raha premium condoms zime expire.

    kwa usalama zaidi jaribu kuepuka ngono, kwani usipofanya huwezi kuumwa
  8. M

    Mtoto wa ajabu; sehemu za sri zipo Kichwani

    mambo haya sababu kubwa ni disoders katika mfumo wa chromosomes zinaposhindwa kugawanyika ipasavyo au ziligawanyika vizuri lakini katika hatua nyingine za mwanzo kabisa za ukuaji cell zinazo husika zimeshindwa kugawanyika ipasavyo. nawapa pole sana wazazi hawa. kitu kingine wazazi wanaombwa...
  9. M

    CCM mwendo mdundo! CHADEMA yaanguka

    kama unadhana hii ilikuwa ni hoja ya CHADEMA peke yake basi umepanda gari ambalo hujui linakupeleka wapi. CHADEMA wanadai haki za watanzania wewe una tetea usisiem naona hufikrii mbali. sisi tunataka serikali inayowajibika bila kulazimishwa na CHADEMA.
  10. M

    Wewe mbovu kwenye SEX! Unajua hilo?

    wanawake wako hivyo kwasababu tu mira zetu haziwaruhusu kutongoza lakini wanahitaji sana sex ndiyo maana wanaamua hata kwenda kwa waganga iliwampata angalau wa kuwashughulikia. hilo liko wazi.
  11. M

    Wewe mbovu kwenye SEX! Unajua hilo?

    hongera kipimo cha ubora wa sex akijua mtumiaji. pia ujue si kila mtu anapendelea hizo shughuri
Back
Top Bottom