Hamna
Hamna kitu apoo njombe tupo kwenye kilimo Cha biashara na viwanda vyake vipoo ka chai, mbao na parachichi yapoo mashamba na viwanda vyakee apoo s ka vinyunguni wanako Lima mboga mboga na nyanya
Hospitali ya rufaa ya mkoa iyooo swala la kuitwaa manispaa ni maswala ya mudaa tuuu soon tutaitwaa Mambo mazuri hayaitaji haraka ndo ka Lindi ni manispaa ilaa Hamna kitu kulee mjii umepoaa biashara hamna
Mambo yashabadilika saiv lami za mitaani kila Kona zinapigwaa na maendeleoo Yana hatua zake mfano mjii wa makambako magegere lami za mitaani zimepigwaa za kutosha wakimalizaa ukoo wanaelekeaa kata ya kivavi ni swala la mipango tuuu
Kibodamo hoteli ndo gorofa lefu kwa makambako na limejengwa juzi juzi tuu apooo kwaiyoo baada ya muda kidogoo majengo ya gorofa yatakua ya kutoshaa na kwa makambako uwekezaji ni mkubwa sasaa
makambako iyooo saiv miji mingi inakua kwa Kasi mfano makambako fursa ni nyingi saivi viwanda vipoo vya kutosha na vibali vya kujenga gorofa vinatolewaa bila kipingamizi kwaiyoo miaka ya 2025 tutegemee makubwaaa. Kwa mfano upande wa shule za English medium miaka ya 2015 zilikua Hamna ilaa saiv...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.