Mkiti wa maisha F Mbowe dikiteita mkubwa asiyetaka kuachia kofia moja kila kitu anakihitaji uchu wa madaraka chama kakipeleka shimoni hakuna kiitu kiitwacho Mapato na matumizi
Yote tisa CDM isubiri tetemeko ktk mkutano mkuu wa CCM tar18/19 mkae na Mwenyekiti wenu wa maisha na fisadi Lowasa mtakoma nao na hayo ni manyunyu ya mvua erinino yaja wa mabondeni hameni mapema msije kumbwa na mafuriko
RIP ILA MIMI NILIKUWEKUWEPO HAPO DODOMA KWENYE TUKIO INAONEKANA ALIYE GONGWA ALIKUWA NA UPUNGUFU WA AKILI ALI KOSWA KOSWA GARI MBILI ZA MWISHIO YA TATU NDO IKAMUMALIZIA MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKE PEMA PEPONI
Je na Nyarandu alinunuliwa kwa sh ngapi ! Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu muchungu kwani matusi ya mange yanaisaidia nini nchi wewe kama ni jasiri fungus act ya matusi hatuna muda huo kwa sasa hapa ni kazi tu
Ambaye aridhiki na mshahara afadhali akalala mbele wengi wanatafuta kaz hawapati iwamelalia ma degree/ masters Ndani tujipongeze tulio
jaliwa kupata kazi
Wewe uache fitina kiasi kilicho ongezwa kwenye mishahara yetu sio sh 6600 asiye shukuru kidogo na kikubwa hawezi kushukuru muogopeni Mungu hela wakati wote haitoshi hats tunge lipwa ma Billion's of Money !!!!!
Sifa zi muendee Bi Hillary Clinton alivyo msimamia Mume wake kwenye swala la ufukusa mpaka akaibuka kidedea lep hii Jesca kadhalilisha wanawake Kafulila aliluwa NCCR Jesca CDM Mbona ugomvi haukuwepo ? Au Mbowe ana mfanya Mchepuko Jesca ? Hii inatia shaka !!!!!
Nimekuelewa Nasari /Lema wote pumba kukicha wanabuni mbinu chafu tumewachoka tuna chokitaka ni Maendeleo so ushahidi wa kimangumashi wakawatumikie wananchi walio wachagua si vingenevyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.