Jerry Muro: Utoto huu wa mbunge Nassari na Lema, Watanzania tuwe wakali. Tutapoteza taifa

Kwa kauli zake ni dhahiri anatafuta huruma ya mkuu wa katika utawala wake! Ila kumbuka Jerry Muro kauli kama hizi zilisahi kuwafunga watu jela maisha!hata ukikumbuka mauaji ya kimbari Rwanda baada ya kudhibiti sheria ilichukua mkondo wake na watu wapo jela kwa sababu ndogo yakusema neno "Kanyaga hao mende"
Hivyo kwa watanzania tunamjua Jerry msipoteze muda!Tumbo linamsokota!
Muro yupo vema sana rudini Nairobi mje mfingue ofisi acheni kuhangaika na Jerry Muro. Mshukuruni kwa kuendelea kuwatoa matongotongo ya ufubaa wa akiri za kibavicha na kwa kifupi amewaacha mbali sana
 
Misekure imeshaaminishwa hakuna wa kuigeuza

Issue siyo kuaminishwa au ktokuaminishwa,issue hapo ni ukweli wa tukio,je waliwapa RUSHWA aka UWEZESHWAJI??

Na hapo TAKUKURU na Tume ya Uchaguzi inalo moja tu kututegulia hiki kitendawili na wafanye kwa audilifu na ukweli mtupu.

Hao madiwani wakikutwa ni kweli wlaipokea huo "UWEZESHWAJI" basi wasiruhusiwe kugombea uongozi wa aina yeyote,pili wahusika ambao ni wafanyakazi wa Serikali wakigundulika basi wachukuliwe sheria stahiki.

Na kama Lema na Nasari wamesema uongo nao wachukuliwe sheria stahiki,na si "KUPOTEZWA"
 
mtoa maada mbona ushahangaika nae kwa kumuanzishia thread??

kisaikolojia ameishakutawala, katawala mawazo yako, muda wako na akili zako

kibaya utakachosema sio kila mtu ataafiki, lazima wako watakaokupinga, kama yeye ambavyi sio kila mtu anakubaliana nae! its natural
 
DUH MASIKINI JERRY !!! MAGU hivi kwanini usimfikrie huyu kijana mchumia tumbo? ELIMU SIO UKOMBOZI ANAYEBISHA AJE TUBISHANE , JERRY MURO ELIMU ANAYO JE IMEMSAIDIAJE? NJAA IKITOKA TUMBONI IKAHAMIA KICHWANI HULETA MAANGAMIZI
 
Murro umetisha, kuna watu watakuelewa, hizo kazi akina nasari wamevamia, wewe ndio mtaalam unazijua haswaaa.... Umenena
 
Muro yuko sahihi hizo picha hazieleweki kabisa Akina Nasari na Lema wanatafuta kiki jamani tutakalia malumbano mpaka lini ?
 
mtoa maada mbona ushahangaika nae kwa kumuanzishia thread??

kisaikolojia ameishakutawala, katawala mawazo yako, muda wako na akili zako

kibaya utakachosema sio kila mtu ataafiki, lazima wako watakaokupinga, kama yeye ambavyi sio kila mtu anakubaliana nae! its natural
Asante kwa hoja nzuri nikweli nimeanzisha thread kwa maana tufike mahali tumtambue kwani takribani wiki3 anatoa matamko yenye uchochezi kwa upinzani!kwa mimi binafsi nachukia siasa za visasi uchochezi napenda siasa za kistaarabu maana hata hao wapinzani nia yao nikuona Tanzania inavuka tulipo hata hizi juhudi za Rais ni kutaka tuvuke hapa tulipo,lakini ikija watu kama Jerrry hawamsaidi Rais zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii!!Unataka kuniambia wewe katika jamii yako wote ni waumini wa chama unachokiamini nadhani si kweli hivyo kuepuka siasa za kichochezi itatusaidia watanzania.
 
I take this rare opportunity to FOREWARN YOU Jerry Muro! Be Warned that, whatever bad happens to Nassari n Lema, just make sure you burry yourself before you are cought! Hatuwezi kuacha Mp.umbavu kama wewe kulitumbukiza Taifa kwenye machafuko! Yaani kabisa unaandika bila kificho kuwa Wapotezwe? Really? Who the fuc.. are You? Au ndo mmoja ya Wasiojulikana mnaopanga na kutekeleza mashambulizi kwa baadhi ya Watu hapa nchini?


Mheshimiwa Mwigulu Nchemba najua upo humu! Msihangaike kuwatafuta Wasiojulikana, wa Kwanza ni Jerry Muro, kamateni huyo, he will name the others, and their master mind! Mkimlinda tutajua You are behind what is taking place in our Nation!
 
... kwa ujumla ililazimu watu kama hawa wapotezwe kabisa, maana kuendelea kupoteza muda na watu wa aina hii ni sawa na kuchezea shilingi chooni.
Hivi sijamuelewa hapa anamaanisha wafanyiwe kama Ben Saanane? mbona huu ni uchochezi mbaya, Jerry haogopi kwamba anacho kifanya kinaweza kuwafanya watu wamtangulie yeye kwanza maana hayupo mtu ambaye anafurahia ndugu yake kupotezwa kama anavyopendekeza Jerry
 
..naanza kupata picha kuwa Jerry anajishughulisha kwenye matukio ya watu wasiojulikana....kwa jinsi anavyotoka na kupotosha ukweli wa kimazingira wa matukio mengi maovu....na anafanya hivi sababu ya ushoga wake na kina bashite na gambo.....muda utasema.....huyu anataka kutusahaulisha kuwa hata yeye aliwahi kuwa muhalifu wa rushwa.....hatudanganyikiiiii......
 
Jerry Muro unajipendekeza hebu na wewe Fanya kazi acha majungu.wanaume hatuko hivo
 
Jerry anatafuta Ukuu wa wilaya,ongeza juhudi utaupata,tangu zamani alpo kabiliwa na kesi ile,halafu TFF ilipompiga stop huwa naona ufahamu wake haujarejea kama zamani,krismasi inakaribia rudi nyumbani krismasi ukatambikie.Haya mambo huyawezi
 
Nadhani ile kosakosa ya kufungwa kwa tuhuma za rushwa ndio zimemfanya aanze kuwa hivyo na naona ikiwania sana cheo cha u propaganda ndani ya Chama! Ila akumbuke tu hizo ni tuhuma nzito zilizo ambatana na ushaidi mzito na hazijibiwi kwa andiko la Jerry Muro....!
 
Back
Top Bottom