Recent content by Mwajey123

  1. M

    Chuo kikuu kukosa umeme/generator

    Sasa si ungezitaja tu ili na sisi tuzijue? Ila usije ukatuambia kule kuna kuwa na mafuriko na nyaya zipo chini ya ardhi; sioni ikiwa sababu kwani genereta inaunganishwa kwenye mfumo wa umeme wa TANESCO Nakama kulikuwa na mifumo miwili inayo jitegemea (kizamani)wangemuita fundi umeme ahamishie...
  2. M

    Hali si Shwari: Yakupasa kuuza Kg 2 za Korosho upate Kg 1 ya Unga wa Ugali

    Nilishawahi kushauri hapa kuwa soko la korosho liendane na nyakati; Na maanisha kipindi hiki ambapo bei sio nzuri, wangetoa tu bei elekezi soko huria linunue. Kuna uhaba wa korosho huku kwenye masoko ya Ndani; halafu mtu anakuambia korosho imekosa soko! Sijui ni soko gani Tanzania korosho...
  3. M

    Naomba mwenye kujua chujio la hayo maji yafae kutumia

    Asante sana nitamcheki kesho kwa kuwa sasa ni jioni sana/Jumapili
  4. M

    Naomba mwenye kujua chujio la hayo maji yafae kutumia

    please, unaweza kuni pm au vyovyote unavyo ona inafaa kuipata
  5. M

    Rais Samia ashiriki maadhimisho ya miaka 10 ya kuanzishwa kwa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC). Asisitiza Vijana kufundishwa aina zote tatu za vita

    Hongera sana mama na kwa Jeshi la Anga kama watatumia zaidi watu wa liosoma Saiyansi ( Alevel) litakuwa na ufanisi wa hali ya juu sana. Nasema hivyo nikijua kuwa ukiwa na wataalamu 10 wenye msingi wa Physics (A-level) ufanisi wao ni sawa na jeshi la mamia ya watu. Mfano: Mahali adui anarusha...
  6. M

    Nafasi ya kazi ya Ualimu (Kisw & History) inahitajika

    Wasamehe tu kwani hawajui walisemalo
  7. M

    Nafasi ya kazi ya Ualimu (Kisw & History) inahitajika

    najua hilo na ndio sababu nikaandika mimi ili niweze kuflter. Kama kuna mtu yuko serious atajulikana kwani sitegemei kusaidiwa bure
  8. M

    Nafasi ya kazi ya Ualimu (Kisw & History) inahitajika

    Kuweni basi serious sio kila saa mnawazia ngono!!! Mimi nimesema mdogo wangu sasa wewe kama utahitaji kusema mengine hayo ni yako By the way hayo hayahusiani na mada tajwa
  9. M

    Nafasi ya kazi ya Ualimu (Kisw & History) inahitajika

    Wapendwa Kuna dogo amemaliza Degree ya Ualimu ( Arts- Kiswahili & History) Kama kuna mtu anaweza kumuunganishia kazi; karibu Inbox tuyajenge Mwenyewe Yupo Dar ila anaweza kwenda mikoani kulingana na offer
  10. M

    Shirika la Afya Duniani (WHO): Tanzania hakuna Ebola

    Asante kwa taarifa Mungu ni mwema siku zote!
  11. M

    Natafuta mume

    Kama huna sifa au unatafuta mtu wa kujitimizia haja ya mwili wako naomba ukae pembeni
  12. M

    ARUSHA (NJIRO) HAWANA MAJI YA BOMBA?

    Hiyo ni hatari, mtaa maarufu kama njiro kukosa Maji? sasa kama waliweka mtandao wa mabomba ambao hautoi maji hiyo haijakaa sawa Nafikiri wangejenga hata Tank la maji mitaa hiyo ili waweze kusambaza maji walau mara mbili kwa wiki
  13. M

    Naomba kuuliza

    Kimsingi hakuna jibu la moja kwa moja kwani, inatokea kwa bahati mbaya mtu akutane na hayo mazingira wakati mwingine aweza kuwa mama mkwe au mawifi au wote kwa pamoja ILA mara nyingi msimamo wa Mwanamme kwa Kushirikiana na Mke wake huya shinda hayo yote
  14. M

    Natafuta mume

    Kama huna sifa au unatafuta mtu wa kujitimizia haja ya mwili wako naomba ukae pembeni/Usi pm!
Back
Top Bottom