Natafuta mume

Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
Dah...tulipkuwa above tunapitwa na mambo.....
 
thamani ya mwanamke kwangu n kumzalisha mpaka mayai ya uzazi yaishe vp upo tayar
 
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
 
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
mambooo
 
Wapendwa
Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, pamoja na kujiunga ili kutoa mchango wangu katika hoja mbalimbali nimeona sio vibaya pia nikachukua fursa ya kutafuta mwenza wa maisha
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 37
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Islam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida (sio masongange), rangi ya maji ya maharage
Napendelea Mweza ninaye muhitaji
  • Awe na miaka 45 na kuendelea
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe najua dhamani ya mwanamke katika nyumba
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
Nipo hapa ondoa hofu
 
na bahati pia inachangia kaka unaweza ukafanya vyote hivyo na kuolewa usiolewe
Nakubaliana na ww, maana kuna watu wameolewa ukijiuliza ni vigezo gn vimempa hyo fursa hupati jibu, japokuwa kuna wale ving'ang'anizi ambao ameshasoma alama za nyakati, anatembea na ww kw target, ukimtia mimba tu ye anaihesabu ni ndoa coz hatoi na hana mpango mbadala....fasta anajipeleka kujitambulisha ht km hujamtambulisha anawatafuta ndg zako walipo na kuanza kujiweka karibu, utasandrra!!!
 
Wapendwa
Najitokeza tena kwenye jukwaa hili, kuchukua hii fursa ya kujitafutia mwenza aliyeko tayari kuanza maisha;
sifa zangu;

  1. Nina umri wa miaka 39
  2. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
  3. Naishi Dar na ninajitegemea
  4. Ni mjasiriamali mdogo
  5. Nimelelewa kwenye familia ya Kiislam
  6. Elimu yangu ni kidato cha nne
  7. Nina mwili wa kawaida, rangi ya maji ya kunde/mweusi
Napendelea Mume ninaye muhitaji awe na sifa hizi;
  • Awe na umri wa 45 na kuendelea (Sifa za umri na dini ni Muhimu kwangu)
  • Akiwa na mtoto ni sawa; nipo tayari kumlea kama mwanangu
  • Asiwe kwenye Ndoa ila kama alisha wahi kuoa haina tatizo
  • Awe na kipato (mjasiriamali au ameajiriwa)
  • Awe tayari kuoa na sio kuchezeana au kupotezeana muda
Kwa aliye tayari karibu pm tuchati
Kama huna sifa au unatafuta mtu wa kujitimizia haja ya mwili wako naomba ukae pembeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom