Recent content by Mwaikibaki

  1. Mwaikibaki

    Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

    Acha watu wavune matunda ya kazi ya mikono yao.
  2. Mwaikibaki

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Wala..wapuuzi wachache wamemchafua sio yeye.
  3. Mwaikibaki

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Mpe ajira..ni vile hizi nchi zetu watu wengi wamekariri, unadhani ingekua ulaya awe na ofisi ya consultation, gharama ya kumlipa kwa huduma kama hiyo watu wangeweza? Nadhani ifike mahali mtu afanye kile awezacho for living as far as asivunje sheria za nchi. Ambacho wengi hatujui ni kua...
  4. Mwaikibaki

    Watumishi zaidi ya 200 Wasimamishiwa mshahara kisa ESS (PEPMIS)

    Labda ungetuambia kuna changamoto gani wao kujaza mfumo kama inavyotakiwa? Maana watumishi wengi hawapendi technolojia wanaona kero... So hapo kuna shida gani na nini kinapaswa kifanyike?
  5. Mwaikibaki

    Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

    Nahisi airtel wana tatizo,nimekutana na tatizo hilo na kujaribu mara tatu bado.imebidi nitengeneze ya mtandao mwingine chap
  6. Mwaikibaki

    Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

    Hawasikii hawa! Hata maji yao ya Kili kwa wateja ambao hatuko kaskazini maji sio....labda wa moshi.
  7. Mwaikibaki

    Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

    Wala tusipanic, haya ndio matokeo ya kukosa focus kwenye issue za msingi. Hivi ilikuaje miaka ile enzi za mwalimu Tz ikawa moja ya nchi za Africa zilizokua na akiba ya chakula cha kutosha? Tunakosea wapi labda? Nini kifanyike ukizingatia technolojia, wasomi na taasisi za kuzalisha wataalimu...
  8. Mwaikibaki

    Magari mabovu Tandale

    Uko wapi,? Nitumie model ya gari na picha ya spea kama ipo
  9. Mwaikibaki

    Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

    Usilazimishe kila mtu aamini unachoamini, kuna uhuru na haki ya kuabudu.
  10. Mwaikibaki

    Kuna internation school Gani nzuri Dodoma

    Hii ni English medium tu Mkuu.
  11. Mwaikibaki

    Kuna internation school Gani nzuri Dodoma

    Curriculum aka mtaala hawafuati huu wa Tz. Ambao mitihani yake ni NECTA
  12. Mwaikibaki

    Kanisa la Kiinjili la Kilutheri lijitathmini kwenye miradi yake

    Naam Hii ndio concern yangu, ni kama hawana priority setting au wanaonq washarika tuna mapesa mengi.
  13. Mwaikibaki

    Steve Nyerere afanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu, amsifia kwa kuondoa tatizo la umeme, reli ya kisasa

    Kabisa, Ni aibu kubwa nchi kama yetu kuruhusu watu wa hovyo ndio wana set agenda kwa mambo ya msingi kama haya.
Back
Top Bottom