Mpe ajira..ni vile hizi nchi zetu watu wengi wamekariri, unadhani ingekua ulaya awe na ofisi ya consultation, gharama ya kumlipa kwa huduma kama hiyo watu wangeweza?
Nadhani ifike mahali mtu afanye kile awezacho for living as far as asivunje sheria za nchi.
Ambacho wengi hatujui ni kua...
Labda ungetuambia kuna changamoto gani wao kujaza mfumo kama inavyotakiwa?
Maana watumishi wengi hawapendi technolojia wanaona kero...
So hapo kuna shida gani na nini kinapaswa kifanyike?
Wala tusipanic, haya ndio matokeo ya kukosa focus kwenye issue za msingi.
Hivi ilikuaje miaka ile enzi za mwalimu Tz ikawa moja ya nchi za Africa zilizokua na akiba ya chakula cha kutosha?
Tunakosea wapi labda? Nini kifanyike ukizingatia technolojia, wasomi na taasisi za kuzalisha wataalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.