Recent content by Mwaikibaki

  1. Mwaikibaki

    Nahitaji dawa ya kuondoa chumvi kwenye kisima cha maji

    Mimi nahitaji kujua maabara zipi/wapi zinahusika kupima kiasi cha chumvi kwenye kisima kwa mikoa ya pwani, Morogoro na Dodoma maana nina mdau ana shida hiyo kwenye maji ya kisima alichochimba.Shukrani
  2. Mwaikibaki

    Dawa za PEP zinaweza kufanya kazi masaa 52 baada ya kushiriki ngono?

    SOP inataka within 72hrs....extent ya exposure inaweza ongeza risk.Ila vema kuanza dawa in less than 72 hrs au immediately after exposure
  3. Mwaikibaki

    Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

    Well said, Waafrica wengi haya mambo yapo. Tatizo ni kama umemficha mmoja au humpi airtime kama mwenzie (ingawa unaweza kua na sababu zako za kiufundi maana sio kila kitu walimwengu wajue).
  4. Mwaikibaki

    Kujenga viwanda vya magari sio suala gumu, bali ugumu upo kwenye mambo yafuatayo

    Chief nchi zinazounda magari unahisi zina hizo materials au zina import? Vipi watu wa viwanda vya computer ambao wako ulaya madini wanatoa Africa?
  5. Mwaikibaki

    GE2025 Utaratibu uliotumiwa na CCM Kumpitisha Samia Kugombea Urais 2025 Umetengeneza Dangerous Precedent Kwa Chama!

    Nakumbuka vijana wetu wa bongo fleva wana wimbo wanasemaga "huu mwaka eeh! Ni mwaka wa kufosi" ...wacha tule mtori nyama ziko chini!
  6. Mwaikibaki

    GE2025 Alex Msama; mtumishi wa watu mwenye dhamira ya kweli aliyebeba hatima njema ya wananchi wa Ukonga!

    Hi unaweza kupanga foleni unaenda kumpigia kura huyu? Kila la heri.
  7. Mwaikibaki

    Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

    Hiiumeijibu Kimila.sana hadi nimecheka, kwa tamaduni za Kiafrica hasa..hakuna ukaribu wa mwanamke na mwanaume wasio ndugu tena wajifungie ndani. Ki mtazamo wa kisasa yote yanawezekana kukaa pamoja bila jambo as far as nwanamke haja consent umfanyie jambo!
  8. Mwaikibaki

    PreGE2025 Bunge linavunjwa kesho, Watanzania tusirudie makosa tuliyofanya 2020

    Chief una maanisha nini? Jukumu lako ni kupiga kura kwa mtu sahihi, swali ni unayempigia akiwa mshindi atatangazwa? Huo mwaka uliotaja kwani tulikosea nini? Tulipiga kura ila hatma ya nani atangazwe ndio issue ilipokua! Usitegemee miujiza.
  9. Mwaikibaki

    Aise wakuu UKIMWI ni noma

    HIV/AIDS haijwahi kubadilika, tangia juzi jana na kesho! Jukumu ni la kila mmoja kuchagua njia sahihi ya kuishi.
  10. Mwaikibaki

    Airbnb Inavyokwenda kuua Soko la Guest House na Lodge

    Chief una hoja ya msingi, lakini kama unazingatia uhalisia mfano Nairobi na kwingineko. ...wateja wako madaraja tofauti na mahitaji tofauti. Haiwezi na haijawahi AirBNB ikawa subsititute ya lodges, guest na zingine. Ila tu, zimeleta mapinduzi makubwa kwa wateja wa huduma za malazi yanayotoa...
  11. Mwaikibaki

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    Ushauri mzuri kabisa..mleta uzi kama ukihitaji msaada zaidi wa kitaalamu na kuagiza kwa kampuni hizo karibu inbox huduma ni BURE.
  12. Mwaikibaki

    Wanasheria naomba mtuelimishe kwa hili la Boniface Mwangi

    Mkuu hii umeangalia kwa level ingine sana! Ni jicho la tatu kabisa!
  13. Mwaikibaki

    Trump Waarabu wanamcheza kama wazungu wanavyowacheza viongozi wa Afrika

    Kabisa....marais wa marekani wakitembeleaga nchi nyingine hua "wanajiachia" mtu kama hujui unaweza dhani wamenaswa kizembe kumbe waapi. Wanakuaga na technical teams veryfocused ambao show zote za negotiation..contracts etc wanasimamia. Wenzetu hawa sio sisi wa kusaini mikataba hotelini kichwa...
  14. Mwaikibaki

    A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

    Akiwa anatumia vizuri (tunaita ufuasi mzuri) viral load inakua chini hivyo uwezwkano wa kuambukiza unakua mdogo, ingawa bado tunasisitiza Kuchukua TAHADHARI. .....na je wewe ambaye huna kinga wala hauna dawa status yako ya maambukizi unaifahamu? Unaweza kumuongezea mwenzio batch ya maambukizi zaidi.
Back
Top Bottom