Hamna lolote kukubali ukandamizaji wa democrasia ndio kukomaa kisiasa. Kutumia dola kupiga watu. Aseme ametumia ile wanaita if you fight them, join them
Jimbo la sgd kaskazini halina mtu na wananchi wake wanampenda kwa umaskini wao wa fikra na uchumi. Huu mtindo wake miaka mingi alishawahi kumtelekeza mwanafunzi mtc alikuwa anamsomesha ftc mwaka 2000 au 2001 akafukuzwa chuo kwa kukosa ada. Tokea hapo nikajua huyu ni tapeli tu
Ametumikia vipindi vya kutosha apumzike na wengine wajaribu. After all nothing new they are just dealing with hardcopy issues only rather than soft issues like democracy integration. ,politics etc
Ninamwamini sana Ummy Mwalimu huwa hskurupuki ukiona ameongea ujue ni point sio wengine wa kutafuta kick kwa mkuu kwakufanya mambo ya ajabu. Wananchi hawana vyoo, maji mmachafu eti unamkamata daktari kwanini kipindupindu hakiishi . Ni ajabu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.