Recent content by Mwagachai

  1. M

    Kati ya DED na DAS nani bosi wa mwingine?

    lakini kwa uhalisia DED ni kila kitu maana ndie mwenye mafungu ya maendeleo, mwenye miradi na pia watu. yaani kama katibu mkuu ndani ya wizara. DAS ni kazi ya ukaraani na umtumishi wa kisiasa. nimewahi kumkatalia mzee wa chama hii post ya DAS maana nilikuwa sina ajiara nikaenda kulia kwa mzee...
  2. M

    Kilio Tanga, bomoa bomoa ya reli!

    Nasikia Hotel ya Dolphine nayo Inapigwa chini... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Feza ada mil9, Mzumbe, Kibaha, Kisimiri 0 ada ila wote top 10

    Pia mwambie kuwa ubora wa elimu siyo div one tu, kuna zaidi ya hapo. Kuna wenye two na three lakini kuna maarifa zaidi wanapata. Ingia makazini utaona. Kuna kijana mwenye one ila PC kaja kuionea university, uwezo wa kuchambua mambo na kujenga hoja, kujiamini, Ndio hapo unaona tofauti ya...
  4. M

    Hii ndiyo St. Marys Mazinde juu iliyotoa Tz One Form Six

    Magamba Sec haipo tena, imebadilishwa Matumizi sasa ni Chuo kikuu cha SEKOMU (sebastian Kolowa Memorial University) Post sent using JamiiForums mobile app
  5. M

    Tanzia: Sethi (bikira wa kisukuma) amefariki dunia

    Sure... Akipiga ECA, pia alikuwa kiongozi wetu ukwata. Tambaza 2005 Pumzika kwa amani kaka. Nakumbuka sana Tanganyika Library. Kwa mama Tambaza. Sent from my D2502 using JamiiForums mobile app
  6. M

    Shigongo amvaa Tundu Lissu

    Kaka kawatetea wazungu kivipi. Maana naona kama hujui Hoja za Lissu. Sema katetea ktk lipi mkuu
  7. M

    Mzee Yusuph: Walio na nyimbo zangu kwenye simu zao wafute

    Dini yake yenyewe ni full show off, kipindi cha mfungo kama hiki ni full kujitangaza kuwa kafunga, sijui subiria mwezi uishe, kusugua paji la uso ili sigda itoke aonekane mcha Mungu. Hii imani ni ya kujionyesha zaidi kuliko matendo yampendezayi Mungu.
  8. M

    Mbunifu na Mchoraji wa Nembo ya Taifa anaishi maisha duni.

    Ulitakaje? Kama alipewa hela ajaoa wake wengi? Bia, nyama, utozi. Ndio mjifunze saving na kuheshimu kipato
  9. M

    Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

    Niffah hii ishu naona unaifuatilia sana, seems alberto aliwahi kukupiga na akakuacha sasa unaona hapa ndipo pa kulipia. But ukweli hakuna ndoa kuvunjika na huu ni upepo tu. Je wewe una usafi kiasi gani? Vile picha imeleak bahati mbaya. Tuacheni unafiki. Toka juzi naona unachamgia tu na kutia...
  10. M

    Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

    Lakini kitambo sana Alberto alikuwa anadaiwa anamla Nyanga Marehemu na ilikuwa skendo sana... Hivyo anaendeleza ubazazi wake, bora kama ni kwa Giggy na ni wa kike kuliko alvyokuwa anawapiga wanaume wenzie. Jack pole sana
  11. M

    Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

    Kuwa kama Daud Bashite.
  12. M

    Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

    Ulimjuaje huyo Mange... Taarifa ni muhimu sana, nduguyo wa Lumumba Bwana Polepole siku hizi anajibu hoja za Mange tu, maana anawajambisha Lumumba balaaa... Ni full kucheza ngoma yake tu, leo dhafa, kedho mchiriku, mdumange, Nk polepole anakimbizwa balaa. Poleni sana
  13. M

    Kutumia namba ya nje Watsup mfano Marekani

    Mkuu. Asante... Hivyo handset lazima iwe hii hii
Back
Top Bottom