kwan BOT wanalipwa kiac gan mpaka apate pesa ya kwenda kula bata ugaibuni tena na familia yake? halafu et anakwenda kwa ajili ya ckukuu za mwisho wa mwaka anatumia kias gan cha pesa ya mshahara wake yaan mshahara wa BOT umpeleke yeye na family yote nje? au ni mfanya biashara!
kuna ule wimbo wa mama kapika ugali na mfinyango wa nyama ya dede ya dede yaaaa! na ule katoka shamban na mkungu wa ndizi, kipindi hicho shule mnasoma kitabu cha hawafu mwenye nguvu, mkicheza football unavaa kiatu mguu m1 kingine unampa mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.